Tunutu kiwavi
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 528
- 215
Muhimu umelewa nyumbu usisahau tena kupiga mswaki keshoNyumbu baba yako na mama yako. Rudi shule kwanza ukajifunze kuandika punguani wewe!
Muhimu umelewa nyumbu usisahau tena kupiga mswaki keshoNyumbu baba yako na mama yako. Rudi shule kwanza ukajifunze kuandika punguani wewe!
Muhimu umelewa nyumbu usisahau tena kupiga mswaki kesho
Mtaji wa nyumbu umebaki kupiga ramli na matusi. Masalimie mwenykiti wa nyumbuWewe ni punguani mkubwa. Uwezo wako wa kujenga hoja ni SIFURI. Kuandika hujui umedumazwa akili na sasa wanakutumia tu hamnazo wewe ili kuendelea kuwapigia debe.
Ni hasara kubwa sana kwa Taifa lolote lile duniani kuwa na mapunguani kama wewe ambao mmeamua kujitoa ufahamu ili tu kuganga njaa zenu.
Mtaji wa nyumbu umebaki kupiga ramli na matusi. Masalimie mwenykiti wa nyumbu
Toka lini nyumbu wakajitambuwa?mafisadi wapo kwenye list of shame ambayo baada fisadi mkuu kununua chama chenu mkaamua kuiondoa na kuwasafisha mitandaoni. Pole sana nyumbu, kumsafisha fisadi yapasa kujitoa akili kama unavyofanyaPole sana kwa kutojitambua na kukubali kutumika na wahuni, majangili, mafisadi, watoa rushwa na wapokea rushwa wanaoingamiza Tanzania. Hata kuandika hujui badala ya kurudi shule angalau tu ukajifunze kuandika uko humu kuonyesha ujuha wako hadharani. Kwa kuendelea kuwa na majuha kama wewe nchini Tanzania itaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu kwa miaka chungu nzima ijayo huku mafisadi wakiendelea kuiangamiza.
Hakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.
Nchi ipo kwenye mstari kuliko wakati wowote ule tangia uhuru. Kama unafikiri nchi ina ombwe la uongozi ingia mtaani uandamane kisha utakuja rejesha majibu kama nchi ina uongozi ama vipi. Mtaleta heshma tu ata kama haupendi na maendeleo ni kila kona mpaka treni za umeme na fly over. Mafisadi wa Chadema Wamepoteana wamebanwa kila kona.
Kama kuna ombwe la uongozi wanaolalamika wanamlalamikia nani. Maana kwenye ombwe la uongozi huwa hakuna wa kumlalamikia, ila kila mtu huwa anaswaga tu kivyakevyake, na kwa namna anavyotaka au kuona inafaa. Hali ilikuwa hivyo nchini Congo enzi za Mabutu Sesseko wa Zabanga Kuku. Msigwa &Co. Should learn that Tanzanians have abiloty determine wrongs and rights. Therefore can differentiate between true stories and deciptive ones. We are not fools.
Toka lini nyumbu wakajitambuwa?mafisadi wapo kwenye list of shame ambayo baada fisadi mkuu kununua chama chenu mkaamua kuiondoa na kuwasafisha mitandaoni. Pole sana nyumbu, kumsafisha fisadi yapasa kujitoa akili kama unavyofanya
Pumba nzuri sana kwa kulisha kuku [emoji239] [emoji239] aina ya kuroiler au sassoNchi ipo kwenye mstari kuliko wakati wowote ule tangia uhuru. Kama unafikiri nchi ina ombwe la uongozi ingia mtaani uandamane kisha utakuja rejesha majibu kama nchi ina uongozi ama vipi. Mtaleta heshma tu ata kama haupendi na maendeleo ni kila kona mpaka treni za umeme na fly over. Mafisadi wa Chadema Wamepoteana wamebanwa kila kona.
kama uliamini kuna cheti cha ziro kutoka kwa gwajima sikushangai Leo umeanza kumsifu kinana na kusahau propaganda za huyo Mzee. Alitembea nchi nzima akijifanya anaiponda ccm kumbe ndo alikuwa anakijenga chama Leo katega kamba nyumbu umeingia kichwakichwa. Nimalizie kwa kusema msigwa Alisha sema yoyote mwenye kumuunga mkono fisadi lowasa akapimwe akili. Nikuulize wewe unayejiita msomi mwenye cheti ya div 4 ya 34, unamuunga mkono fisadi lowasa au unamkataa hadharani hpa? Nyumbu mwenye makengezaTaahira kweli wewe hebu weka huo ushahidi wa mimi kumsafisha fisadi yoyote yule nchini. Acha kukurupuka kuandika pumba mganga njaa wewe. Dikteta uchwara nchi imemshinda sasa kabaki vitisho tu hata kinana kachoshwa naye baada ya kumvumilia kwa mwaka mzima sasa anamchana hadharani tena mchana kweupe bila hata kumung'unya.
Hata Kiswahili shida..Ok wekeza kwenye shughuri zako lakini epuka kuwekeza kwenye siasa za bongo nakushauri
kama uliamini kuna cheti cha ziro kutoka kwa gwajima sikushangai Leo umeanza kumsifu kinana na kusahau propaganda za huyo Mzee. Alitembea nchi nzima akijifanya anaiponda ccm kumbe ndo alikuwa anakijenga chama Leo katega kamba nyumbu umeingia kichwakichwa. Nimalizie kwa kusema msigwa Alisha sema yoyote mwenye kumuunga mkono fisadi lowasa akapimwe akili. Nikuulize wewe unayejiita msomi mwenye cheti ya div 4 ya 34, unamuunga mkono fisadi lowasa au unamkataa hadharani hpa? Nyumbu mwenye makengeza
Mawazo na maoni yako hayo tunayaheshimu tu.Umekosea, Watanzania tulizoea kuishi kwa kufuata sheria na katiba ya nchi...sasa hivi tunaongozwa na mzigo flani hivi hujui sheria wala katiba aliyoapa kuilinda ni kitu gani, yan nchi inaendeshwa tu kama kuku asiye na kichwa!
Sasa kama ulibajeti kutumia sh 30 na ukatumia sh 10 ndiyo umevunja Katiba??Misimamo ipi unayozungumzia hapa!? Ya kudharau katiba? Ya kulidharau Bunge!? Ya kutudanganya Watanzania kuhusu bajeti hewa ya 29 trilioni wakati pesa halisi zilizotolewa ni 34% ya pesa zote!? Ya kutumia $487 million zaidi ya shilingi trilioni moja pesa ambazo hazikuidhinishwa na Bunge kununua ndege bila kufuata kanuni za Serikali!? Ya kuendesha nchi kwa vitisho kila kukicha!? Ya kukaa kimya kuhusu ufisadi wa Lugumi na pia kuhusu vyeti vya mhuni na jambazi Bashite ambaye hastahili na wala hana sifa ya kuwemo ndani ya Serikali!? Ya kuangusha uchumi wa nchi kwa sera mufilisi na za kukurupuka zilizosababisha mabiashara mengi nchini kufilisika na uchumi kutetereka!?
Mwenye macho haambiwi tazamaHeeee kwa hiyo sasa hivi katiba inafuatwa
Hata kama ilikuwepo kwa miaka yote hiyo tuliishi kwa mazoea tu ya kijamaa ambayo ni tofauti sana na ukomunisti.....Kwa hiyo for the past 50 yrs hii nchi haikuwa na serikali kama somalia? Si mnatuambia kuwa chama kikongwe Afrika kipo hapa?
Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
Utabaki tu na maneno hayo hayo ya dharau kila siku badala ya kuchangia mada.Haifuti ukilaza wako mkuu