Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,418
Na mwano atalaumu pia
Kabla ya mwanae naona wataanza mwanao Ku kulaumu wewe baba yake maana ukiacha kichwa kiwe kwa ajili ya kufungua nywele tu.
Na mwano atalaumu pia
Hakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.
Hebu chukua sheria ya vyama vya siasa uone inasema nini na yeye anafanya nini, kisha soma katiba kuhusu haki na wajibu wa vyama vya siasa na yeye ameamurisha kifanyike kitu gani, harafu angaria bashite anafanya nini harafu jiulize kama ningekuwa mimi stahili yangu ningekuwa wapi,baada ya hapo utapata jibu mubasharaTatizo letu tunalazimisha kuaminisha wanainchi kuwa Rais ktk hafuati Katiba.
Ukiuliza ni nini anachofanya nje ya Katiba hata hatuelezi chochote zaidi ya kuanza kutoa tu hisia zetu.
Rais Magufuli anafuata sheria kama alivyoapa na Katiba kwa kuitii na kufuata.
Tatizo lako liko pale pale sema Rais Magufuli amevunja sheria moja mbili tatu .....ili kila mmoja afahamu kuwa kumbe Rais wetu anavunja sheriaHebu chukua sheria ya vyama vya siasa uone inasema nini na yeye anafanya nini, kisha soma katiba kuhusu haki na wajibu wa vyama vya siasa na yeye ameamurisha kifanyike kitu gani, harafu angaria bashite anafanya nini harafu jiulize kama ningekuwa mimi stahili yangu ningekuwa wapi,baada ya hapo utapata jibu mubashara
Thanks kwa correction I do appreciateUko sahihi ila hapo kwenye red. jibu ni Watanzania wachache wenye fedha na walioteka vyombo vya habari kupinga kupigania 'status quo'. Hao watu sasa wanatumia fedha zao kuteka bunge (kama bado walikuwa hawajaliteka) chini ya uratibu wa dalali mtiifu Bashe.
Toka lini nyumbu wakajitambuwa?mafisadi wapo kwenye list of shame ambayo baada fisadi mkuu kununua chama chenu mkaamua kuiondoa na kuwasafisha mitandaoni. Pole sana nyumbu, kumsafisha fisadi yapasa kujitoa akili kama unavyofanya
Acha kuonyesha ujuha wako hadharani na kuidumaza akili yako. Mwinyi ambaye aliwahi kuwa Rais na Mwenyekiti wa CCM alisema nchi inaendeshwa kama gari bovu halina sukani. Aliyewahi kuwa Jaji Mkuu na Waziri Mkuu wa Tanzania pia alitamka kwamba nchi imepoteza mwelekeo. Kinana pia juzi juzi katamka haya. Hebu acha kujitoa ufahamu na kujifanya hamnazo ili uendelee kutetea uozo wenye madhara makubwa kwa Tanzania na Watanzania.
Hata hatujui tunachotaka watanzania, taifa la watu masikini wa mwili, roho na akili.
Hiyo katiba yako inaruhusu utekaji wa watu?inaruhusu utesaji na mauaji? Hivi Benny angekuwa upande wenu msingewaleta hao Scotland yard kweli? Hebu mwogopeni Mungu jamaniHakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.
Shukrani sana Mkuu![]()
Kiongozi, nisamehe tu lakini naamini hivyo. Tunahitaji mabadiliko makubwa mno kuanzia mtu binafsi, familia na jamii kwa ujumla.Hii ni moja kati ya kauli nzito kabisa ambayo umeitoa hapa jukwaani.
Nipe ibara inayompa mamlaka ya kuzuia mikutano ya vyama vya siasa.Chagua mwenyewe jibu la awali lako nachojua Mimi ni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anafuata sheria kama zilivyoanishwa kupitia ktk Ibara mbalimbali za Katiba ya mwaka 1977 na marekebisho yake.