jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,127
- 1,634
Hakuna ombwe la Uongozi nchini kaka bali watanzania walio wengi hawakubaliana na misimamo na maamuzi wa Rais Magufuli ktk kuendesha Serikali kwasababu tulizoea kutofuata Sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa Kikatiba.
Kwani yeye anafuata katiba, sheria na kanuni?