Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,119
Una akili finyu sana wewe! Kuwa na wananchi wenye akili finyu kama wewe ni hasara kubwa sana kwa Taifa. Mwingine anayemhujumu dikteta uchwara huyu hapa sijui huyu kanunuliwa na nani punguani wewe. Kuna fisadi katika Serikali hii dhalimu kama Magufuli!? Alihusika na ufisadi wa nyumba za Serikali, upotevu wa zaidi ya bilioni 100 kisha kulidanganya Bunge. Pia alihusika na ununuzi wa kivuko uozo cha kwenda Bagamoyo kwa bilioni 8.
Yote haya yameandikwa katika ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali lakini punguani wewe huoni tatizo kuja hapa kuandika pumba zako eti dikteta uchwara anahujumiwa na Chadema bila kuweka ushahidi wa aina yoyote ile kuthibitisha hizo hujuma.
Lala dogo malalamiko kwenye mitandao ya kuficha id hayatakusaidia acha kuwekeza kwa wanasiasa wekeza kwenye nguvu na akili zako we unafikili huyo mamvi atakuletea wali na ugali kwako akiwa rais.ACHANA NA KUTEKWA KIFIKRA.
