Kuna nini uwanja wa Ndege Kilimanjaro?

Kuna nini uwanja wa Ndege Kilimanjaro?

Mzee Mwinyi naye alitukaanga katika hili.
Ndo udhaifu wao huo. Mwinyi, Kikwete wote ni matatizo makubwa na ni hasara kubwa sana kwa nchi yetu.

Nyakati za uongozi wao tumeshuhudia mambo mengi ya ajabuajabu tu ikiwemo kuongezeka kwa hali ngumu za maisha.
 
huyu ni mfalme wa nchi kutoka kwao na nikiongozi kweli anaweza kuja hapa nchini bila serikali kujua? Uenda ujui taratibu na serikali inavyofanya kazi

Anajua KIKWETE mwenyewe anaamrisha visa akapewe kwenye dege nchi hii mpaka tutakapo watoa hawa michwa ndio tutakuwa salama

Halafu utasikia wamasai wote yero CCM hoye
 
Umeshasema ni mtoto wa mfalme,achekiwe nini? Halafu wewe umeacha kazi zako ukaenda airport kutafuta nini? Si uanafiki tu huo
Unajua yai la kuchemshwa??
Unajua linavyoliwa??
Linamenywa kwanza sio??
.................................
 
Ndiyo mikataba ya wakubwa wetu wanayosaini huko wanakokwenda kila siku, ndiyo matunda na sera nzuri ya serikal yetu.
 
Hii ya Loliondo nasikia ata ukiwa maeneo yale kwenye simu unaambiwa karibu katika hemaya ya mfalme!
Mwinyi nae alitukologa kwenye hili!

Je, kwa tafsiri nyingine tuseme Loliondo ni 'colony' au 'protectorate' ya Waarabu ndani Tanganyika?
 
Hao waarabu si ndio wale waliochoma maboma yote ya wamasai na ng'ombe zao na bado wanaendela kuchoma leo hii mmsai aliyeishi na wanyama hao tangu kuumbwa kwa ardhi haruhusiwi hata kupitisha ng'ombe vinginevyo wanapigwa risasi na maboma yanaendelea kuchomwa,halafu wanaondoka na wanyama aina 100 mpaka nembo ya taifa letu,kitoweo chao ni wanyama wa Tanzania yaani TWIGA naye anabebwa kwa kiasi wanachotaka, wewe majebere aka CCM huruhusiwi kuwinda LOliondo yote huo sio wizi au unataka mamayo akwambie
hawa jamaa wanatumia magari yasiyo na registration wakiwa kwenye mbuga 'yao'. wanakuwa na silaha nzito na nyepesi. wanaua hadi ndege wasioliwa just for fun...
Hiyo ndio kazi ya CCM........unawauzia watu mbuga ya wanyama??........sawasawa na kumuuzia mtu bedroom yako ndani ya nyumba yako, halafu awe anamla binti yako humohumo tena bila kificho!!...na huwezi kumfukuza kwasababu umemuuzia kabisaa na sio umemkodisha!!
 
hawa jamaa wanatumia magari yasiyo na registration wakiwa kwenye mbuga 'yao'. wanakuwa na silaha nzito na nyepesi. wanaua hadi ndege wasioliwa just for fun...
Hiyo ndio kazi ya CCM........unawauzia watu mbuga ya wanyama??........sawasawa na kumuuzia mtu bedroom yako ndani ya nyumba yako, halafu awe anamla binti yako humohumo tena bila kificho!!...na huwezi kumfukuza kwasababu umemuuzia kabisaa na sio umemkodisha!!
Ina uma ina uma utawala wa Mwinyi ni zaidi ya ujuavyo
 
Ivi alipewa kwa Loliondo for how long maana siku zaenda!
 
Umeshasema ni mtoto wa mfalme,achekiwe nini? Halafu wewe umeacha kazi zako ukaenda airport kutafuta nini? Si uanafiki tu huo

Hujai-tackle hoja, badala yake umejibu kama afanyavyo Mwigulu Nchemba.
 
Kwa kifupi ni kwamba, kuna ka nchi kadogo kako chini ya Utawala wa Uarabuni ndani ya Tanzania. Mwinyi alipokuwa madarakani, aliuza kipande hicho kwa waarabu, na hiyo sehemu waarabu wana mamlaka yote ingawa ipo ndani ya Tz. Saiv wanajenga ka uwanja kadogo ndani ya hiyo sehemu ili wasiwe wanapitia KIA. Kalaghabao wadanganyika...
 
Ni tayari msimu wa uwindaji umeshaanza toka 1.7.2012, kwa wanaoishi Arusha wanajua. Huyu kijana huwa akija anatanguliwa mbele na warembo wa kifaransa ambao wanaangusha hela huku wakimpepea. Kwa maana hiyo hakuna anaeweza kumfanyia ukaguzi wowote, maana anakuwa alishatuma watangulizi mapema.

Sasa tutafuataje kwa nyuma, tupate mtaji?
 
Umeshasema ni mtoto wa mfalme,achekiwe nini? Halafu wewe umeacha kazi zako ukaenda airport kutafuta nini? Si uanafiki tu huo

Fisadi mkubwa. Hii ni nchi yetu ni lazima taratibu za kuingia na kutoka nchini ziheshimiwe lakini serikali dhaifu ya Kikwete imeigeuza Tanzania kuwa danguro na mafisadi uchwara kama wewe unaunga mkono kudhalilishwa nchi yetu. Mwisho wenu unafika na ndio kutakuwa na kilio na kusaga meno.
 
Umeshasema ni mtoto wa mfalme,achekiwe nini? Halafu wewe umeacha kazi zako ukaenda airport kutafuta nini? Si uanafiki tu huo

unajua unakuwa senior member unatakiwa ujibu kutokana na grade uliyonayo ,mimi binafsi nampongezaSONGOD EMO,anaonyesha ni jinsi gani anvyoumizwa na watu wanokuja nchini kinyemela hata kama wamekuja kwa lengo zuri,huyo mtoto wa mfalme ilibidi akaguliwe kama utaratibu unavyosema then mambo mengine yafuate tatizo la viongozi wetu ni watu wasiojali wananchi wao ndio maana mambo kama haya yanatokea,hivi kweli tutafika kwa staili hii,nazani kama NYERERE angekuwa kama viongozi waliopo sasa hii nchi ingekuwa imebaki makapi
 
Umeshasema ni mtoto wa mfalme,achekiwe nini? Halafu wewe umeacha kazi zako ukaenda airport kutafuta nini? Si uanafiki tu huo

nataka mtoe majibu wale wanyama 116 wako wapi?na mwizi ni nani na sio kubwabwaja hapa!hivi wewe utafunika vikombe vingapi kwa hao wanaharamu?jitazame upya personality yako kisha chukua hatua muda hausubiri!
 
hawa jamaa wanawachukia sana wamasai kwa vile kama si wapagani basi wengi wakristu.Na kumbadili mmasai baadhi ya vitu kwa sababu duni ni ngumu .Waaarabu wanaishia kuwa frustrated na kuamua wafanyia hivyo wengine hivyo.Mwarabu na dini yake wanakosa self esteem.Ndio maana wanataka utamaduni wao, na dini zao zipewe sifa hata pale haziingia kichwani, na wepesi kudai kufuru na kuhalaisha ukatili wao.
 
Umasikini ni mbaya sana,yani kila kitu ni wivu tu, hapa hakuna mwenye uchungu bali ni roho za kimaskini zilizo jaa wivu. Mwarabu loliondo ni mali yake na nyie kama vipi mnaweza kwenda huko kumstarehesha mkaondoka na vidola.
 
hawa jamaa wanatumia magari yasiyo na registration wakiwa kwenye mbuga 'yao'. wanakuwa na silaha nzito na nyepesi. wanaua hadi ndege wasioliwa just for fun...
Hiyo ndio kazi ya CCM........unawauzia watu mbuga ya wanyama??........sawasawa na kumuuzia mtu bedroom yako ndani ya nyumba yako, halafu awe anamla binti yako humohumo tena bila kificho!!...na huwezi kumfukuza kwasababu umemuuzia kabisaa na sio umemkodisha!!
sasa huko sikutakua na skeleton nyingi sana za wanyama wanaouwawa?hivi hawa waliotufikisha hapa wanajisikiaje wakiona haya yanatendeka? MWINYI UPO? KIKWETE UPO?MWEMA UPO?USALAMA WA TAIFA MPO?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom