mkuu huyo ndo kada wa kijani, kwao makosa ndo mafanikio!Nina mashaka na ubongo wako
hivi sisi tuna laana au ni nn?dah!yaan nachoka kwa kweli
Ivi alipewa kwa Loliondo for how long maana siku zaenda!
Umeshasema ni mtoto wa mfalme,achekiwe nini? Halafu wewe umeacha kazi zako ukaenda airport kutafuta nini? Si uanafiki tu huo