Njowepo JF-Expert Member Feb 26, 2008 9,710 2,226 Jul 5, 2012 #81 So Mwinyi alijilipua kitu cha 99 years jamani jaribuni kuwa serious! Kile ni kitalu cha uwindaji sasa 99 years inakujaje apo?
So Mwinyi alijilipua kitu cha 99 years jamani jaribuni kuwa serious! Kile ni kitalu cha uwindaji sasa 99 years inakujaje apo?
MNYISANZU JF-Expert Member Oct 21, 2011 7,048 1,102 Jul 5, 2012 #82 Tanzania ni shamba la bibi. Nayachukia mno maCCM yenu .