Mazingira ni mazuri... Hayana shida... Waalimu wa biology kipindi naondoka walikuwepo.. Hata chemistry waliletwa.. Physics ndio sina uhakika..maana niliskia mwalim msami a.k.a pdidy amepandishwa cheo na kua mkaguzi.. Huyu ndo alikua gwiji la physics balaa... Alinisaidia sana kupata A ya physics bila hata tution.sasa sijui kama kuna waalimu wengine wameletwa..ila mazingira ya shule sio mabaya.... Prep kwenda ni wewe mwenyewe... Hakuna ulazima..taa zipo on usiku kucha.. Sio kama seminari.. All in all.. Sijawahi kuenjoy maisha ya kusoma sekondari zaido ya oldmoshi.. Ma hata matunda yake mwisho wa form six yalikua mazuri kwangu