Kuna nini Old Moshi high school

Kuna nini Old Moshi high school

du old ni li skuli la ukweli total freedom, lkn msuli utapiga tu! Kuna ticha anaitwa p didy anaweza sana physics. Nakumbuka sana wkt nikisoma tulikuwa tunajaza tv rum ya muccobs mpaka wao wanakosa nafasi. Arsenal ilichukua kombe lake la mwisho wkt nasoma fm5
 
kijana pale ni hakuna kulala ni msuli kwenda mbele.... nenda kajisahau ulale utavuna chako.....ulichopanda ...kasome kijana ....msuli yatima pale ndo utakutoa lasivyo..... ukifika msalimie mzee Omy
Hahaha Dj Omy pale jikoni na mwiko wake
 
Me nimechaguliwa pale Pcb vp lakin mazingira hiyo combination hapo ? Na je nilazima kwenda prepo kila siku au?
usiende prepo halafu PCB we una wazimu nini?

Kama vipi achana na kombi hiyo lasivyo watula kichwa soon
 
majengo ya shule yamechakaa sana sana sana,,,mpaka nachoka
 
Duhhh, long time saana nilimaliza hapo form 4, '95 nikiwa mkazi wa bweni la Hanan'g
 
U
Mazingira ni mazuri... Hayana shida... Waalimu wa biology kipindi naondoka walikuwepo.. Hata chemistry waliletwa.. Physics ndio sina uhakika..maana niliskia mwalim msami a.k.a pdidy amepandishwa cheo na kua mkaguzi.. Huyu ndo alikua gwiji la physics balaa... Alinisaidia sana kupata A ya physics bila hata tution.sasa sijui kama kuna waalimu wengine wameletwa..ila mazingira ya shule sio mabaya.... Prep kwenda ni wewe mwenyewe... Hakuna ulazima..taa zipo on usiku kucha.. Sio kama seminari.. All in all.. Sijawahi kuenjoy maisha ya kusoma sekondari zaido ya oldmoshi.. Ma hata matunda yake mwisho wa form six yalikua mazuri kwangu
ww unaweza kuwa Emmanuel Modest 2003/2005
 
Old Moshi ni mazingira mazuri ya kusoma. Kuingia prepo ni uamuzi wako mwenyewe. Shengena 4 ni bweni tulilolizindua nikiwa form 5, 2009
 
Back
Top Bottom