Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,900
- 28,012
Dah wadau wa Old Moshi High School mmenikumbusha mbali sana. Nakumbuka those years early 90s tukiwa O level kulikuwa na headmaster aliyeitwa Mtui (RIP). KJJ Mtui alikuwa bomba sana alikuwa akihutubia school assembly anamaliza na slogan yake ya Love your school, love one another.
Kwa wale wanaokwenda pale A level ukiwa serious utafaulu vyema kwani mazingira ni rafiki hakuna wa kukufuatilia na jua wajibu wako. Nawakumbuka walimu wa A-Level ( Chemistry- Mama Samanya, Mama Mlingi na Ngwinya) Biology kulikuwa na Mama Kimaro (RIP) Mama Rutazaa, Physics -Shayo na Maths- Kinunda duh dogo anavuta fegi kama kapagawa. Kuna walimu wengine O level nawakumbuka Lisapita, Kimbi Mzee wa French. Yaani nikikumbuka "Ongoza vema Angaza" nasisimka.
Mkuu mama Samanya bado yupo ati!!! Ila Kimbi naona alikuwa promoted akaja kuwa ticha wa Adv Chemistry....Ila alienda kupiga Master yake hapo Udsm sijui kasepa wapi......