JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,673
MKUU walimu wapo nenda pale mjini ulizia AMBER utaelekezwa ni opposite na Kilimanjaro hospitalJaman waalimu wa Tuitionz moshi mjini wanapatikana kwa upande wa phys bios and chems?? Au ndo hivyo m2 akifunga skuli mpaka Dar ndo atapata waalimu wakali??