Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,262
Hivi wakuu nanyie mnaona kama mimi au?
Mbona kama ile Tamaduni yetu ya kutembeleana haipo tena.
Unajua ile tunakua, ilikua unasikia..Likizo hii tunaenda kwa Shangazi..kwa Baba mdogo. Kwa Mjomba... Kwa Bibi ...n.k
Lakini siku hizi hii kitu haipo
Au Mitandao yakijamii imechukua nafasi...yaan ukiona picha ya Ba mdogo kapost, unalike, unakoment.. Imeishaaa hiyooo
Au ukiona status yake wasap... Imeishaaaaaaa hiyo. Ndio salamu, ndio kujuliana hali?.
Mbona kama ile Tamaduni yetu ya kutembeleana haipo tena.
Unajua ile tunakua, ilikua unasikia..Likizo hii tunaenda kwa Shangazi..kwa Baba mdogo. Kwa Mjomba... Kwa Bibi ...n.k
Lakini siku hizi hii kitu haipo
Au Mitandao yakijamii imechukua nafasi...yaan ukiona picha ya Ba mdogo kapost, unalike, unakoment.. Imeishaaa hiyooo
Au ukiona status yake wasap... Imeishaaaaaaa hiyo. Ndio salamu, ndio kujuliana hali?.