Kufuta Bima ya watoto ni upumbavu kabisa yaani Bima inakuwa haisaidi WANANCHIbima ya watoto nayo naona wameiua kiaina.
Shule zinalazimishwa kupeleka kuanzia majina 100.
Nina watoto 3 shule tofuati toka mwaka jana wote shuleni majina hayajatimia 100
Hali mbaya mno Kwenye hii nchiKwahiyo hizo safari za nje kumbe hazina tija mbona mambo yanaendelea kuharibika
Hakuna uzalendo Kwa Sasa zaidi ya TitleOgopa sana viongozi wanaosema ''huyu hafai mwondoeni, atatukosesha kura wakati wa uchaguzi''. Yaani kwao, kura ndiyo muhimu, siyo kwamba hafai kwa sababu anafanya wananchi wateseke na kusiwe na maendeleo, la hasha, hafai tu kwa sababu atawakosesha kura. Hii ina maana gani? Kwao ina maana kuwa kiongozi mzuri ni yule anayefanya wapte kura nyingi na siyo yule anayewajibika na kufanya kazi kwa bidii.
Pesa za bima wamejengea maghorofa ya gharama na uwekezaji mwingine mkubwa na hawa ndiyo wanajilipa mishahara mikubwa kuliko yeyote. Acha ife tu wahuni hawa wanaelewa uchumi lakini wanajilipua tu acha ife ili wajue faida yake.SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.
JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa
Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi
Unazungumzia NHIF au hata akina Jubilee et el?SHIRIKA LA BIMA LIMEFILISIKA HOSPITALI ZINADAI PESA ZAIDI YA MIEZ 5 BILA MALIPO, WANANCHI TUMEANZA KUONJA JOTO HILI,UKIENDA MUHIMBILI HUDUMA YA HARAKA KWA MGONJWA WA BIMA IMEPUNGUA SANA, NI MALALAMIKO KILA KONA.
JE, MNAPOSEMA BIMA KWA WOTE MTAWEZAJE WAKATI HILI LA KUZILIPA HOSPITALI TUPATE HUDUMA INAYOSTAILI HAMLIPI. Kwa habari za chini Hadi wazabuni wanaopeleka vifaa tiba Mahospitalini wamegoma
Sasa hii nchi tunaipeleka wapi BIMA mmekaa kulipana maposho Kwenye viko na kujilimbikizia mikopo Hulu SHIRIKA likifa
Sasa linatafutiwa mbinu ya bima Kwa wote, Bila kujua kuchuguza ufanisi wa SHIRIKA, kwanini kusewepo na machirika mengi wakapambanishwa hili linawapa kiburi