Acha uwongo, ni 17 March...Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.