Kuna nini katika tarehe 17 February?

Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
Acha uwongo, ni 17 March...
 
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
Sawa
 
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
Hakuna cha maana hapo unaichosha tu akili kwa kuconnect nyayo za Paka, Mbwa na za Panya ambao kila mmoja alikua na safari yake binafs.
Overthinking🤣
 
1707673062369.png

=
17 = 1+7 = 8
=
Kwa uchache
Numerology places great significance on the number 8. Here's a breakdown of its key meanings and associated traits:
Prosperity, Abundance, and Power
  • Numerology connects number 8 strongly with material success, wealth, and high attainment.
  • Those influenced by this number often find themselves in leadership positions with significant earning potential.
  • The shape of the number itself (similar to the infinity symbol) suggests unlimited potential and flow of abundance.
Balance and Karma
  • A core theme in numerology regarding the number 8 is karmic balance. It embodies the "you reap what you sow" principle.
  • It suggests that hard work, ethical choices, and a focus on the greater good often bring rewards
  • Number 8 is a reminder that actions have consequences, both positive and negative.
Strength, Inner Wisdom, and Ambition
  • People influenced by this number tend to be naturally driven, self-confident, and possess a strong will to succeed.
  • They have a knack for sound judgment and practical decision-making.
  • This ambition, however, can sometimes tip into workaholism or an intense focus on material success.
Other Symbolic Meanings of Number 8
  • Cycles and Infinity: The shape of 8, like the infinity symbol, depicts eternal cycles, continual flow, and a lack of true beginnings or endings.
  • Spiritual and Material Balance: Numerology suggests those aligned with 8 must constantly strike a balance between materialistic aspirations and spiritual awareness.
Challenges Facing Those Influenced by Number 8
  • Arrogance and Ruthlessness: The drive and ambition inherent in the number 8's energy can sometimes lead to a disregard for others or an ego-driven approach to achieving goals.
  • Obsession with Control: Some may develop a need for excessive control over their environments and those around them.
  • Difficulty Managing Failure: Those under the influence of the number 8 often find it hard to accept failures or see them as opportunities for growth.
If Your Numerology Chart Features Number 8
If 8 plays a dominant role in your numerology (in your birthdate, Life Path number, etc.), your personality likely shares many of the strengths and challenges listed above. Being aware of these potential pitfalls is crucial for harnessing the power of this number in a positive, constructive way.
-
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
-
Kumbukizi | Channel ten | Nyota Zenu
1707673491538.png
 
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
Kama hujui Magufuli alifariki lini basi andiko lako limepoteza uhalali wa kuendelea kulichangia!!

CHADEMA akili zenu mnazijua wenyewe
 
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/2/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
Magu ni 17 march not February rekebisha bandiko lako
 
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa mgombea Urais na hatimaye kuwa Rais John Pombe Magufuli alifariki tarehe 17/3/2021. Aliyekuwa mpinzani wake 2015 Edward Lowassa ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa naye atazikwa tarehe 17/02/2024. Na wakati huo msafarawa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Paul Makonda umepata ajali time 17:7 huku magari 7 yakibondeka na watu 7 kujeruhiwa. Wanajimu tupeni maneno hapa.
Utakuwa freemason hiyo😜😜
 
Back
Top Bottom