Zitto siyo threat kwa CCM. Full stop.
Zitto alisharubuniwa zamani na kina Mwigulu kuivuruga Chadema. Bahati mhaya alikuta viongozi wengi wa chsma chake wamekomaa. Hakuna aliyejisumbua naye.
Mnakumbuka kampeni za mwaka 2010, nani alimwona Zitto jukwaani akikampenia chama chake? CCM hawana shida naye sababu waishamuweka kwenye kiganja. Yeye ni kama Ryatonga Mrema. Tofauti ni kwamba mmoja ni mzee na mwingine kijana.
Dili ilikuwa hivi; hawa watu wa CCM walitaka kuigawa CDM kupitia Zitto na kampeni ya dini. Walitaka Zitto atoke na kundi la wafuasi hili general election ikifika, CCM ishinde bila usumbufu. Mchezo ulishtukiwa na kuanzia hapo Zitto akawa ignored na viongozi wengine wa CDM. Ndo maana huwa haonekani nao. Walimwacha ajiue kisiasa.
Ukiwaangalia Mwigulu na Zitto, ni vijana wadogo ila wangekuwa Mbwa, basi usingewatumia mawindoni. Hawachelewi kukung'ata wewe mwenyewe. Hapa nina maana kwamba siasa zao hazina future. Wamejiharibia vipaji vyao kwa kukubali kuwa ma ndumila kuwili. Mwigulu anakubali kutumika kwenye michezo michafu na kuacha finger print all over the place. Huyu anahope kwamba CCM itakuwepo kumlinda forever. Nakwambia utawala ukichange tu, Mwigulu atashtakiwa karibu kila Mkoa.
Bwana Zitto kwa wale wanaofatilia siasa, huyu haaminiki. Mara naacha siasa, mara nimo, mara naenda Somalia, Sudan kufundisha. Hivi Zitto anaweza kumfundisha nani? Hizi ni dalili za denial au natural death. Kidonda cha kuwageuka wanasiasa wenzake ndo kinauguzwa hapa.
Msikilizeni kwa makini, anawasema vibaya wabunge wenzake. Mfano juzi tu aliwambia watu kwamba hakwenda bungeni kupigana ngumi...akifanya reference kwa Sugu. Mimi sio mwana siasa ila naamini Zitto anapaswa kuwa mature sasa. Utoto umemzidia. Hata kama hawapendi wenzake, kuna mature approach anaweza kuzitumia.
Conclusion.
Zitto sio mwanasiasa. Ni ndumila kuwili na ni mtu anaweza kutumiwa na chama chochote kuharibu, huku akidhani anajiinua mwenyewe. Ana self interest zinazozidi interest za taifa. Ni mtoto na hajakomaa kisiasa.
Bwana Mwigulu, haijui CCM. Huyu atageukwa sio muda mrefu. Ila aombe sana taifa lisibadili utawala maana atashtakiwa!
Zitto na Mwigulu, waumini wao...yaani watu wanaowasikiliza, ni watu wajinga, watu wasiopenda kujishughulisha kujua mambo na low information people. Hawawezi kwenda kwa watu waelevu. Na hii ni dalili za mwisho wao.
Simjui zaidi Mwigulu, ila anayependa kumfatilia Zitto, soma mambo yake humu humu JF na facebook. Mpaka unamaliza, utaishia conclusion yangu.