Kuna namna tu muziki wa kitambo ni mzuri, kuliko wa sasa

Kuna namna tu muziki wa kitambo ni mzuri, kuliko wa sasa

Nomadiq

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
7,924
Reaction score
20,912
Namaste everybody
Heshima zenu wakuu
.

Muziki wa kitambo miaka hio ya wahenga kabla sisi Gen Z hatuzaliwa ulikuwa mzuri sana ukilinganisha na ya sasa.

Vyombo vya muziki vinasikika kwa uzuri, kama ni saxophone unaisikia, guitar marimba zote unazisikia vizuri. Nyimbo zilikuwa ndefu, unakuta nyimbo dakika 10, mpangilio mzuri wa mashairi.

Personally naukubali.
 
Namaste everybody
Heshima zenu wakuu
.

Muziki wa kitambo miaka hio ya wahenga kabla sisi Gen Z hatuzaliwa ulikuwa mzuri sana ukilinganisha na ya sasa.

Vyombo vya muziki vinasikika kwa uzuri, kama ni saxophone unaisikia, guitar marimba zote unazisikia vizuri. Nyimbo zilikuwa ndefu, unakuta nyimbo dakika 10, mpangilio mzuri wa mashairi.

Personally naukubali.
Mapokeo yanatufanya tukasahau uasili wetu kabisa, hata Marimba yamepotea kabisa hakuna kijana wa sasa anayejua Ala ya mziki zaidi ya kutegemea akili mnemba, hata vikundi vya ngoma za asili vimekufa, kwaya, sarakasi, kucheza na Nyoka jukwaani vyote tunaona ushamba.
 
Namaste everybody
Heshima zenu wakuu
.

Muziki wa kitambo miaka hio ya wahenga kabla sisi Gen Z hatuzaliwa ulikuwa mzuri sana ukilinganisha na ya sasa.

Vyombo vya muziki vinasikika kwa uzuri, kama ni saxophone unaisikia, guitar marimba zote unazisikia vizuri. Nyimbo zilikuwa ndefu, unakuta nyimbo dakika 10, mpangilio mzuri wa mashairi.

Personally naukubali.
Sikuhizi HATA stage TU mic na vyombo vya muziki haviwi na sauti nzuri yenye kusikika vyema.

Fatilia fiesta za zamani na hivi karibuni utaona tofauti
 
Mapokeo yanatufanya tukasahau uasili wetu kabisa, hata Marimba yamepotea kabisa hakuna kijana wa sasa anayejua Ala ya mziki zaidi ya kutegemea akili mnemba, hata vikundi vya ngoma za asili vimekufa, kwaya, sarakasi, kucheza na Nyoka jukwaani vyote tunaona ushamba.
Fact kabisa
 
Sikuhizi HATA stage TU mic na vyombo vya muziki haviwi na sauti nzuri yenye kusikika vyema.

Fatilia fiesta za zamani na hivi karibuni utaona tofauti
Mambo ya Autotune hamna ladha
 
Muziki asili yake wapi eeeee
Muziki ni wa nani eeeee
Muziki hakuna mwenyewe
Muziki ni mwito
Muziki ni fundisho
Muziki maombolezo kilio
Usinione nikiimba
Ukadhani ninayo furaha
Kumbe ninayo huzuni moyoni
 
Muziki asili yake wapi eeeee
Muziki ni wa nani eeeee
Muziki hakuna mwenyewe
Muziki ni mwito
Muziki ni fundisho
Muziki maombolezo kilio
Usinione nikiimba
Ukadhani ninayo furaha
Kumbe ninayo huzuni moyoni
Huu kapiga nani mkuu niudake
 
Back
Top Bottom