Hawa jamaa nao hawana kazi huku tz sema nji hii wagen wana Uhuru kuliko wazalendo njia nyingine Usikute tuu unazagaazagaa utakiona
May Fair zipo mbili unazungumzia ipi? Ya Kawe au Mikocheni?
Na hiyo bomba hapo alivunja kabla hajafa??!!
Kwa nini isiwe aliteleza akagonga hilo bomba then kichwa chini hapo kwa tub labda akasema akae asikilizie ndio akafia hapo akiwa amekaa na huo mchirizi wa damu uwe ulitokana na hiyo kuanguka na kujigonga????!!!
walikuwa wanafanya usafi kila baada ya siku 3 au mbili coz mwenyewe alikuwa anaweka 'do not diaturb' so hata hapo aliweka DND ILA siku zilivyozidi ndo wakapata wasiwasiNyingine hiyo...mmmmhhhh dawa za kulevya ndo zimtoe maviungo ya ndani...mmhh...shidaa..hiyo hotel nao hawafanyagi usafi khaaa
hmm sijaelewa ina maana iyo hotel haifanyiwi usafi kila siku?
Soma post number 32 utaelewa
Na hiyo bomba hapo alivunja kabla hajafa??!!
Kwa nini isiwe aliteleza akagonga hilo bomba then kichwa chini hapo kwa tub labda akasema akae asikilizie ndio akafia hapo akiwa amekaa na huo mchirizi wa damu uwe ulitokana na hiyo kuanguka na kujigonga????!!!
Hizo koki pacha za bomba zimechomoka mahala pake, kama palikuwa na mpambano hivi!!!