Kuna Mzungu kafia hotelini may fair Dar es Salaam

Kuna Mzungu kafia hotelini may fair Dar es Salaam

Mlaleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
16,382
Reaction score
13,194
Nimesikia tetesi kuwa kuna Mzungu kakutwa kafia ndani ya Hotel maeneo ya Myfair na yasemekana Mwili wake umekutwa na michiliziko ya damu iliyokauaka room ilipoanza kutoa harufu baada ya siku ya nne ndipo walipojua kuna mtu kandei... sasa kama alikuwa na huo ugonjwa si keshaueneza kuanzia airport hadi hapo hotelini...!

Mwokozi nitoe Roho niepuke hili balaa Maisha tunayachezea leo hii tunashangazwa na Watendaji wetu
 
loh

yaani sina cha kusema kwa kweli nimeona picha zake
Mkuu jarubu kuzitafuta uziweke huu ugonjwa si wa kuficha hii serikali itatumaliza kama inaleta mchezo.. Mficha ugonjwa Kifo kitamuumbua...

Watangaze tu Dunia ijue tuwekwe kwenye karantini tuumalize huu ugonjwa hatari Mbona Siera Lione na Nigeria hazikuona aibu... walihitaji Msaada...
 
Siku 4 ina maana walikuwa hawafanyi usafi kwenye hiyo room?

Mkuu wenye pesa hufanya siri la sivyo hiyo hoteli ifungwe na ikose biashara kwani hakuna mtu atakayeweka ubavu wake alale hapo...
 
Mkuu jarubu kuzitafuta uziweke huu ugonjwa si wa kuficha hii serikali itatumaliza kama inaleta mchezo.. Mficha ugonjwa Kifo kitamuumbua...

Watangaze tu Dunia ijue tuwekwe kwenye karantini tuumalize huu ugonjwa hatari Mbona Siera Lione na Nigeria hazikuona aibu... walihitaji Msaada...

mkuu usipanic labda ni mashinikizo ya damu tu.
 
mkuu usipanic labda ni mashinikizo ya damu tu.
Waliomuona wanasema Dalili zote za Ebola.... Shinikizo la damu ndio Damu itoke kwa aina ya Ugonjwa wa Ebola?

Sipati picha waliojitolea kumtoa...
 
Mm mwenyewe nmetumiwa pich Duh inatisha sn .ina maana huwa hawa fanyi usado au hyo ishu wanajua wafanya Kazi coz ni mzungu wakijua anapesa.
 
ImageUploadedByJamiiForums1410819014.757212.jpg
 
Back
Top Bottom