Kuna Mzungu kafia hotelini may fair Dar es Salaam

Kuna Mzungu kafia hotelini may fair Dar es Salaam

hata mimi pia jamani acheni kuvunja watu mbavu hii ishu inatisha hebu tuwekeeni picha ya ukweli


Ndivyo kanuni za huduma ya kwanza zinasema, baada ya hapo anatakiwa ampulizie hewa ya oxygen mdomoni
 
Hiyo picha hapo juu imenifanya nicheke japo hili swala ni serious.

sasa umecheka nini au ni dushe ndo imekuchekesha acha hizo bwana nasikia alikua mlevi sana na eti ni madawa ya kulevya.. Allahu aalam
 
Wengine huweka hii kabisa........

il_340x270.457234568_8i5c.jpg

Hahahaaaa....umetisha....kama ndo hivyo acha tu wafe....
 
Punda inawezekana pia, tusihisi Ebola peke yake
 
Kama mwanadamu anaweza kuwa hivyo sioni kitu kinachowafanya watu waringe huku duniani na kutesa wenzao.
 
wewe hotel

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Alimeza dawa za kulevya, zikampasukia tumboni.
Nilikuwepo wakati anatolewa....harufu mbaya sana, utumbo ulitoka nje....jamani....wazungu twawapenda tu lakini mhhhhh!!!!

Endeleeni kuwapenda tu hao watifua marinda.
 
Back
Top Bottom