tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,423
walikuwa wanafanya usafi kila baada ya siku 3 au mbili coz mwenyewe alikuwa anaweka 'do not diaturb' so hata hapo aliweka DND ILA siku zilivyozidi ndo wakapata wasiwasi
Aiseee anatisha ...utadhani ni zombie...hayo mautumbo nayo sijui yametokaje