Mkuu ni kweli kabisaa yana tabia ya kuvimba kwenye side wall na hii nimeshuhudia kwa watu kadhaa hivinimeshazitumia kwa 3 yrs na safari chache za Arusha dar, iringa chacha, tatizo lake kubwa ni kuvimba Mwenyekiti side wall
Naomba namba ya huyo fundi120,000/= moja mkuu gerezani pale. Nipo mkoa kwasasa ila kuna fundi anajua vema tairi kuzichagua maana nyingine mbichi na pia anajua kuzifunga. If you want his contacts I can help
Note: Gari yangu ni Crown
120,000/= moja mkuu gerezani pale. Nipo mkoa kwasasa ila kuna fundi anajua vema tairi kuzichagua maana nyingine mbichi na pia anajua kuzifunga. If you want his contacts I can help
Note: Gari yangu ni Crown