Kuna mtu ashawahi kupata kazi kwenye NGO's bila kuweka na uzoefu?

Superleta

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
466
538
Nilikua napitia mashirika mengi wanatangaza kazi mbalimbali kipengele kikubwa wanataka mtu mwenye uzoefu tena unakuta ni miaka 5 hadi 7

Sasa ndugu zangu humu kuna mtu amewahi kuomba kazi hizi za NGO's na akapata akiwa from fresh student yaani kamaliza chuo na hana uzoefu wowote?

Nauliza maana nilimaliza chuo mwaka jana na nina degree ya Maendeleo ya Jamii natamani sana kuomba kazi kwenye mashirika ila hapo kwenye kigezo cha Uzoefu na pia wanataka mtu mwenye uwezo wa IT kabisa mimi sina elimu ya IT wala sina uzoefu kabisa ndo kwanza naanza kuzisaka hizo ajira
 
Ambacho nimewahi kukinotice ni hichi hapa

NGOs kupata ni connection.

Yaani kuna posts hazitaangalia sana ulichosomea instead ni nani unamjua mfano Procurement Officer na kama hizo.

Kingine nilichojifunza ni kwamba hawa watu hua wanazunguka humo humo yaani mtu kafanya project hii kwa miaka 5 ikaisha ikija NGO mpya ina project nyingine wanaitana wale wale.

Kama kuna maoni tofauti acha tuone hapa
 
Nilikua napitia mashirika mengi wanatangaza kazi mbalimbali kipengele kikubwa wanataka mtu mwenye uzoefu tena unakuta ni miaka 5 hadi 7

Sasa ndugu zangu humu kuna mtu amewahi kuomba kazi hizi za NGO's na akapata akiwa from fresh student yaani kamaliza chuo na hana uzoefu wowote?

Nauliza maana nilimaliza chuo mwaka jana na nina degree ya Maendeleo ya Jamii natamani sana kuomba kazi kwenye mashirika ila hapo kwenye kigezo cha Uzoefu na pia wanataka mtu mwenye uwezo wa IT kabisa mimi sina elimu ya IT wala sina uzoefu kabisa ndo kwanza naanza kuzisaka hizo ajira
Hujambo Superleta?

NGOs ni Kati ya sehem ngumu sana kupata kwa fresh graduate kwa kuwa hawana muda wa kufundisha mtu kazi, lakini kubwa zaidi ni ku justify namna ulivyoajiriwa bila uzoefu wowote... kumbuka fedha za mishahara zinatoka kwa wafadhili.

Habari njema,
Nenda physically kwenye NGO unayotaka kufanya kazi, omba nafasi kama locum( kibarua) utafanya utazoea, muda unavyoenda nafasi ikitokea na wewe unaomba, wanakufanyia interview unaingia kwenye mfumo wa ajira rasmi, na wewe unaanza kutembelea DFP🙂.

Hongera sana nakutakia kila la kheri.
 
Ambacho nimewahi kukinotice ni hichi hapa

NGOs kupata ni connection.

Yaani kuna posts hazitaangalia sana ulichosomea instead ni nani unamjua mfano Procurement Officer na kama hizo.

Kingine nilichojifunza ni kwamba hawa watu hua wanazunguka humo humo yaani mtu kafanya project hii kwa miaka 5 ikaisha ikija NGO mpya ina project nyingine wanaitana wale wale.

Kama kuna maoni tofauti acha tuone hapa
Sawa mkuu
 
Hujambo Superleta?

NGOs ni Kati ya sehem ngumu sana kupata kwa fresh graduate kwa kuwa hawana muda wa kufundisha mtu kazi, lakini kubwa zaidi ni ku justify namna ulivyoajiriwa bila uzoefu wowote... kumbuka fedha za mishahara zinatoka kwa wafadhili.

Habari njema,
Nenda physically kwenye NGO unayotaka kufanya kazi, omba nafasi kama locum( kibarua) utafanya utazoea, muda unavyoenda nafasi ikitokea na wewe unaomba, wanakufanyia interview unaingia kwenye mfumo wa ajira rasmi, na wewe unaanza kutembelea DFP.

Hongera sana nakutakia kila la kheri.
Asante sana mkuu nitalifanyia kazi hilo
 
Hujambo Superleta?

NGOs ni Kati ya sehem ngumu sana kupata kwa fresh graduate kwa kuwa hawana muda wa kufundisha mtu kazi, lakini kubwa zaidi ni ku justify namna ulivyoajiriwa bila uzoefu wowote... kumbuka fedha za mishahara zinatoka kwa wafadhili.

Habari njema,
Nenda physically kwenye NGO unayotaka kufanya kazi, omba nafasi kama locum( kibarua) utafanya utazoea, muda unavyoenda nafasi ikitokea na wewe unaomba, wanakufanyia interview unaingia kwenye mfumo wa ajira rasmi, na wewe unaanza kutembelea DFP🙂.

Hongera sana nakutakia kila la kheri.
Dah umeandika very easily
 
Unadhan natoa kichwani?
Tell me the tough part.
Sijasema unatoa kichwani ila NGOs hua ngumu kukubalia ukajitolee kama ipo nje ya bajeti yao, hua wanajibu utahitaji kula na ukiwa nje ya bajeti hautapata kitu na wao hawataki.
 
Sijasema unatoa kichwani ila NGOs hua ngumu kukubalia ukajitolee kama ipo nje ya bajeti yao, hua wanajibu utahitaji kula na ukiwa nje ya bajeti hautapata kitu na wao hawataki.
Sasa kwenye kutafuta kaz hakuna kuangalia budget wala nini, yeye aombe, mara nyingi human resources nyingi kwenye NGOs zipo limited na hakuna kitu kinaitwa hela ya kula, if at all anataka kujaribu.
Issue za chakula atapata ikiwa atapangiwa kusafir mikoani....

To start is tough for everyone.
 
Ambacho nimewahi kukinotice ni hichi hapa

NGOs kupata ni connection.

Yaani kuna posts hazitaangalia sana ulichosomea instead ni nani unamjua mfano Procurement Officer na kama hizo.

Kingine nilichojifunza ni kwamba hawa watu hua wanazunguka humo humo yaani mtu kafanya project hii kwa miaka 5 ikaisha ikija NGO mpya ina project nyingine wanaitana wale wale.

Kama kuna maoni tofauti acha tuone hapa
Kuhusu konekshen upo sahih


Mim nilifel darasa la nne baadae nikajiongeza ili nijue kusoma na kuandika


Lkn niliwah pata kazi ktk NGO'S km wakala wa kuchukua maelezo kwa wanakijij kuhusu mirad inayohudumiwa na hilo shirika ingawaje kulingana na vigezo vya nafas ambayo niliihudumu nilikidh viwili tu cha umri na utanzania wangu vingine vyote nilikua sina


Ingawaje konekshen nayo ina gharama kwa sabab shirika lilikua linalipa 120k kwa siku lkn Mzee mzima nilikua naambulia Sabin tu
 
Back
Top Bottom