Kuna mwanaume anaeweza kusubiri?

Kuna mwanaume anaeweza kusubiri?

Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa? Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninao waamini kua ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa. Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?

Tatizo lenu mnawaambia wanaotaka kuwaoa wasubiri wakati huo mnagegedwa na bodaboda huo Ni unafiki Mimi kuna demu aliniletea upuuzi kama huo nikimuomba mechi anastuka kama hajawahi kugegedwa ananiambia nisubiri niliachana naye
 
Kama nitakuoa bila ya kutoa mahari nitasubiri,ila kama kuna kutoa mahari siwezi kusubiri. Lazima ni test mzigo kama uko sawa.
 
Kusubirii!!! ? ? Haya matoto ya kike yalichonifanyia, tena ikiwezekana tia na mimba kabisa kabla ya kuoa .Tia mimba ya mapacha watatu.
 
Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa?

Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninaowaamini kuwa ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa.

Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?
Usubiri nini labda,
 
Yes tunaweza kusibiria bila shaka...

Tatizo lipo kwa mwanamke... Mwanaume unaweza kuvumilia na kusubiria, lakini mwisho wa siku mwanamke unayemsubiria anakuja kuliwa kizembe na mwingine... Alafu anakuja na story za bahati mbaya...


Cc: mahondaw

Heheheeeiyaaaaaaaaaaaa

Smart911 vile nakupendaga sijui hata nisemeje yani
 
Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa?

Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninaowaamini kuwa ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa.

Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?
Kuchungulia tobo kabla ya ndoa nimuhimu ili ujue kama umepick kibanio, mtaro, rambo, au tundu la sindano ko unajiandaa vizuri kwa mechi ndefu za ndoa. Izo za kusubiri mpaka marriage ndo izo zina michepuko, hazina amani, zinavunjika kwa sababu kama mtu alijipa matumaini ya tundu la sindano afu akakuta goli la uwanja wa uhuru, au mwanamke alietumai kupigwa round 2000 afu akakuta mzee mzima unaishia nusu km lazima atafute mpango wa kando ko ni muhimu kabisa kujuana kabla ya kuswekana ndani
 
Unasubir ili iweje wewe ukisubir wenzako watamtafuna mabnt hawana maana
 
Unacho subiri ni nn zaidi?unajitafutia matatizo bure..wewe KULA..TU....wadada hawaeleweki hawa..YUPO JAMAA YNGU MMOJA...aliposa sehemu mtoto BIKIRA...akawa anahudumia.. Na kusubiru hadi amalize CHUO... mwisho wa siku MTOTO kavunjwa Bikira.... Ndoa ikafa.. Wewe kula...unapokula ndy kutamfanya msichana ajione yupo karibu zaidi na wewe na mapenzi yatazidi...
 
Halafu ujue kuna baadhi wamezuka siku hizi wakidai hawajaguswa ili kuwateka akili njembas ili watangaze ndoa haraka haraka kumbe wanauvaa mkenge. Ila njemba ikiwa korofi itakuwa nongwa. "Nilikuoa kwa sababu ulinidanganya kwamba wewe ni bikra." Ndoa inaweza kuingia dosari kubwa haraka sana.

Kuna wale ambao wakikukuta bado bikra watasubiri lakini pale unaposema 'uliumizwa na sasa umeamua hivi' ni wachache ambao watakuelewa.
 
Halafu ujue kuna baadhi wamezuka siku hizi wakidai hawajaguswa ili kuwateka akili njembas ili watangaze ndoa haraka haraka kumbe wanauvaa mkenge. Ila njemba ikiwa korofi itakuwa nongwa. "Nilikuoa kwa sababu ulinidanganya kwamba wewe ni bikra." Ndoa inaweza kuingia dosari kubwa haraka sana.
Trouble starts when you want to eat your cake and have it.
 
Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa?

Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninaowaamini kuwa ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa.

Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?

Mwanaume makini na mwenye nia atasubiri endapo sababu ya kusubiri ni ya msingi, na pia isiendane na kuficha udhaifu fulani. Kama ni ya kiimani sawa.

Kuna ndoa iliwahi kuvunjika mara tu baada ya honeymoon mpaka baba Paroko alishikwa na butwaa.
 
Dunia ya leo hili ni gumu sana. Wazazi wetu waliweza kusubiri lakini si sisi. Unajiaminisha kwamba mnasubiriana hadi harusi mara unasikiae bidada wamempachika mimba. Kuchanganyikiwa kwake acha kabisa unaweza kuwachukia wanawake wote duniani pamoja na kuwa hawahusiki hata chembe na mrembo kupata mimba.

Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa?

Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninaowaamini kuwa ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa.

Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom