Maisha ya ndoa ni zaidi ya papuchi mnato au papuchi mdebwedo.Ndoa ni maisha ya zaidi ya watu wawili,majukumu ya maisha ni magumu sana.Muombe Mungu sana kupata mwenza ambaye ni rafiki kuliko kuwa Mke/Mme,kuna muda mnaweza kupitisha hadi mwezi hamja duu,hadi wife inabidi akuingie kiutani japo kukujenga kihisia.Mambo ya kibamia sijui bwawa kwenye ndoa halipo,kwani wachepukaji wote wake/waume zao wana mabwawa/vibamia? Hapana,ni hulka tu,kuna watu wana mihogo/minato lakini wenzi wao ndio mabingwa wa kuchepuka.Kuvumiliana ni rahisi kama mtaanzisha urafiki kwa kuambizana kila kitu kinacho wahusu