Kuna mwanaume anaeweza kusubiri?

Kuna mwanaume anaeweza kusubiri?

Mkuu;
Swali lako mbona rahisi tu ka abcd?? Mwanamume akikupenda kweli, hakika atakuheshimu na atakutunza sana. Upendo hauangalii hayo makando kando. Mwanamume anayetaka kukuvua pichu kabla ya ndoa, hakika hajakuthamini. Kama wewe ni mwaminifu kwa nini akuvue nguo kabla??
Kama akifanikiwa kukuvua kuna shida gani akiisha ondoka, huyo kijana wa chumba cha pili ambaye amekuwa akikununulia mlo si naye apate pipi kidogo??
Uaminifu huanza tangu siku mmeamua kupendana. Asikuguse hadi ndoa na wewe usimpe mtu mwingine tena hadi usiku huo wa ndoa. Msichana usijirahisishe kihivyo. Ndo maana huwa vijana wengine wanakuuliza; Umeshatembea na wangapi?? Ka huniambii ndoa hakuna. Mwisho kwa ujinga unaanza toa mahesabu na kuishia kuachwa bure.
 
Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa? Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninao waamini kua ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa. Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?
Usishikilie kitu, kana kwamba kuto kufanya hio kitu ndipo utauona ufalme wa mbinguni.
 
Nikusubiri mpaka nikuoe then tukifika kwenye ndoa nakuta una uwanja wa taifa na mimi gitaa langu dogo,nikipiga huo mziki mashabiki hawawezi kusikia.
Kwa hiyo utaoa kwa kufuata papuchi mnato? Ndoa zijazo kuna haja kuwa za kiserikali.Kuwe na uhamisho wa mwanaume huyu kuhamia kwa mwanamke mwingine kama waajiriwa wa serikali wanavyo hamishwa kwenye vituo vyao vya kazi
 
"Subira yng ndio iloniponza ngoja ngoja naonekana zoba" banana zoro
.
Unachomeshwa mahindi ukisubir ndoa halaf kunaboya huko anapewa mzigo free of charge ukija kugundua huwa inauma kupita maelezo...
.
Bora tumegane tu kisela tukiamianiana kwamba panapomajaaliwa tutaoana
 
Jux pekee ake aweza subiri,mambo yamebadilika sana siku izi,ndo maana ata mapdri si muda wata ruhusiwa kuoa.
Si kufanya tu sex, bali awe na mimba au mtoto ndio ndoa ihusike,
Wasio na nguvu jinsia zote?wapo
wasio na uwezo wa kumimbisha au kutungishaa?wapo
Walio na nukta na wamilikiyo punda usizoweza vumilia bila kujaribu?wapo
 
Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa? Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninao waamini kua ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa. Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?
Tatizo ndoa za siku hizi zimekuwa ndefu uchumba miaka 5 uliona wapi kawaulize wazee ukifikisha miaka 17 wakati mwili umeanza kuchemka unapewa mke sasa wewe mpaka 35 ujaolewa na kuoa unatengemea nini ndio hicho kinachoonekana kwa sasa, gharama za ndoa mambo mengi yasiyo ya msingi yameletwa
 
Kweli ndugu yangu maana maisha yame vaakaptula nowdyz
 
Bora uanze kugonga wewe kuliko kujifanya hutaki alafu akaliwe nje
 
vipi ukimsubirisha kisha ukaja kugundua baada ya kufunga ndoa ya kua hana uwezo wa kuchapa kazi?au pengine dude lake inchi tatu wakati li wima?
 
Yes tunaweza kusibiria bila shaka...

Tatizo lipo kwa mwanamke... Mwanaume unaweza kuvumilia na kusubiria, lakini mwisho wa siku mwanamke unayemsubiria anakuja kuliwa kizembe na mwingine... Alafu anakuja na story za bahati mbaya...


Cc: mahondaw
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom