Doji MD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,472
- 5,322
Kila Muhula wa Rais mpya wananchi wanasiasa huponda kwakila jambo linalowagusa,
Lakini Rais amalizapo tu miaka yake ya uongozi watu umkumbuka nakusema Bora yake kuliko huyu wa Sasaš
Hata huyu wa Sasa ngoja amalize miaka yake utasikia milio namapambio yawale wale waliombeza
Lakini Rais amalizapo tu miaka yake ya uongozi watu umkumbuka nakusema Bora yake kuliko huyu wa Sasaš
Hata huyu wa Sasa ngoja amalize miaka yake utasikia milio namapambio yawale wale waliombeza