Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,968
- 46,626
Hellow sir. Hawa manyang'au wamekuacha salama? Umeadimika sanaKuna mtu kashameza ndoano lakini bado anaivuta itoke kooni
Nasisitiza rais ajaye 2025-2030 ni mpya
Hatuwezi kuendelea na utekaji tena
Big no!!