Kuna mtu kashameza ndoano

Kuna mtu kashameza ndoano

Hivi mnapata nini kuombea wenzenu wafe hii nchi Ina watu wa hovyo Sana
 
Mkuu ukifatikia siasa za Tanzania kwa serious SANA utakufa MAPEMA na presha KUKOSa amani stress kibao. Just imagine WATU WA Leo WA CHAUMA wametoka wapi HAO wafuasi CHAUMA wamewatolea wapi?


Kwishaaaaaa
 
Mtazeeeka vibayaaa 😃😃
Mmekua kma wehu kila cku makauli ya vitisho na dua za kichoko choko
.maisha ni mazuri mnoo ukiwa winning team haina haja ya kua mwana harakat kwenye nchi ya Tz
Pelekeni upuuzi wenu uko uko
 
Mtazeeeka vibayaaa 😃😃
Mmekua kma wehu kila cku makauli ya vitisho na dua za kichoko choko
.maisha ni mazuri mnoo ukiwa winning team haina haja ya kua mwana harakat kwenye nchi ya Tz
Pelekeni upuuzi wenu uko uko
Yaani hii mijitu ni mipumbavu kweli kweli.
 
Mtazeeeka vibayaaa 😃😃
Mmekua kma wehu kila cku makauli ya vitisho na dua za kichoko choko
.maisha ni mazuri mnoo ukiwa winning team haina haja ya kua mwana harakat kwenye nchi ya Tz
Pelekeni upuuzi wenu uko uko
Hawana ajenda kazi kuombea watu wafe kama wao wataishi milele
 
images (13).jpeg
 
Jf iendee taratibu, unayemwita Dada aweza kuwa Mume wa shangazi yako
Weee, shangazi yangu ni jembe hawezi kutolewa na mume kiboyaboya hivi........yaani munewe muda wote awe anahangaika na huu upuuzi wa kumchulia Samia tu?!!! Angemtimulia mbali maana anajua hakuna mwanaume wa hivyo.....labda isiwe riziki
 
Back
Top Bottom