Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #81
Hawa wapo wengi sana huku mtaani mkuu.Wanajifanya wanakupenda kumbe Simba wenye njaa.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Hawa wapo wengi sana huku mtaani mkuu.Wanajifanya wanakupenda kumbe Simba wenye njaa.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Hawa wapo wengi sana huku mtaani mkuu.Wanajifanya wanakupenda kumbe Simba wenye njaa.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Asante mkuuUshauri mzito na mzuri
Sawa mkuuHahaha nami Kwetu Shirati ingawa mimi sio Mjaluo.
Ndio leo sasaOct 28 Ni kipimo cha uwezo wa kufikiri wa watz
Okaykuna kipindi shem anakaa mbali na familia yake yalikua yanamkuta kama hayo,mtoto anaumwa na gharama ya hosptl inalingana na kiwango ulichonacho na ndo kiasi cha nauli ya kwenda na kurudi, anaamua utume fedha ili kusaidia matibabu, ila baade analaumiwa kwa kutokwenda kumuona mtoto akiwa anaumwa huku akisahau pesa aliyokua nayo alituma yote kusaidia matibabu. sasa unajiuliza kufika akiwa hana hela ni bora kuliko kutuma mtot atibiwe kwanz?
Okay...True kuna rafiki yangu alikwama nauli alipoenda dodoma kwenye interview aliowategemea watampa wakamkwamisha na simu awapokei
Sawa mkuunikampa ushauri wa kukopa kupitia huduma za kukopa za simu akakopa akafanya nauli akanishukuru Sana
Pamoja sana mdogo wangu wala usihofuMkuu kumbe ww ni mtu mzima Sana kwangu, Shikamoo ukistaajabu ya musa utaona ya firauni Mimi nilijuaga ww chalii kama mimi,,
Upo Chuo wakati m pesa Hakuna ww ni mkongwe, ile Salaamu ya wakubwa zangu uiache Mkuu
Shikamoo na nisamehe kwa kukuona ww level zetu 97
Mi mwenzenu sinaga washauri kwenye maisha au ndio sababu nakwama?!.Alikuwa ni moja kati ya washauri wangu wa karibu sana.
We jamaa unaandika vitu vya maana vyenye mafunzo sema ni vile watu washavurugwa na wabunge wa viti maalum. Jah De BlessUncle alikufa mwaka huu 2020 mwezi wa August. Ndio maana nikakumbuka kisa hiki cha maisha yangu.
R.I.P my uncle.
Mwambie kuwa kusuka sana kunasababisha nywele kukatika. SHe needs to let her scalp breathe kwa week tatu. Na pia hakikishe ana moisturize kichwa chake ili scalp irudishe hali yake ya kuzalisha mafuta ya asili ambayo hufanya hair roots kuwa strong.Utampa ushauri gani akuelewe mdada aliekuomba hela yakusuka anakwambia nywele zimeanza kukatika anataka akafumue asuke,ni neno gani litamuingia huyo mdada eti?
Asante sana mkuu. Pia ninakaribisha ukosoaji utakaonijenga (Constructive Criticism)We jamaa unaandika vitu vya maana vyenye mafunzo sema ni vile watu washavurugwa na wabunge wa viti maalum. Jah De Bless
Well saidMwambie kuwa kusuka sana kunasababisha nywele kukatika. SHe needs to let her scalp breathe kwa week tatu. Na pia hakikishe ana moisturize kichwa chake ili scalp irudishe hali yake ya kuzalisha mafuta ya asili ambayo hufanya hair roots kuwa strong.
Hakika hakidumu mkuu. R.I.P my uncle
SINA PESA. FULL STOP.Utampa ushauri gani akuelewe mdada aliekuomba hela yakusuka anakwambia nywele zimeanza kukatika anataka akafumue asuke,ni neno gani litamuingia huyo mdada eti?
You can give it a try bro...Mi mwenzenu sinaga washauri kwenye maisha au ndio sababu nakwama?!.
Maana baada ya kusoma hapa nikafanya rejea za fasta fasta kwa watu wangu wa muhim starting with my father wote wana washauri wao π.Af kuna brother angu mmoja yy ni pastor huwa anani offer sana hiyo opportunity kwamba nim consult anytime for anything nikihitaji ushauri ila waaapi naonaga am just fine.!..