Kuna mtu anamwelewa Kassim Majaliwa

Kuna mtu anamwelewa Kassim Majaliwa

huyu kazi alishapoteza toka naibu waziri mkuu ateuliwe --- hana impact na yupo kimya kuokoa mitikasi yake, wanajua ukianza kuongea nini kinafata
 
View attachment 3465825

Hivi kuna mtu anamwelewa Kassim Majaliwa. Ametaka kugombea akakatazwa ! Je kazuiwa na wanamitandao.

Kwanini hajawahi kuunga mkono kukemea mambo machafu ya utekaji, unyanyasaji unao endelea ?

Je anasusia? Ni Mzalendo au kazidiwa na wanamitandao?
Mambo hayo uliyoyasema yapo kwenye party coccus! Yani msimamo wa Chama Kwa maslahi ya chama na Mwenyekiti. Asitokee mtu yeyote ndani ya chama akahoji, akapinga au akaonesha huruma! Akiifanya hivyo huyo sio mwenzetu kwenye chama ni msaliti!
Kuhusu utekelezaji wake mwenyekiti wa chama ambaye ni Rais na Amiri Jeshi mkuu atasimamia utekelezaji wake. Sio Kwa bahati mbaya mahakama inajiepusha kupokea mashauri ya hivyo na kuyafanyia kazi, sio bahati mbaya unasikia Bunge kupitia speaker anapindisha ukweli Kwa makusudi, sio bahati mbaya polisi wanapowajibia CCM na watekaji wenyewe!
Kile kilichopelekwa bungeni kama hoja ya dharura ilikua kiini macho Ili wananchi waone Kuna juhudi zilizofanyika. Amka katika hili, Gwajima hasulubiwi Kwa bahati mbaya ni makusudi Kwa sababu amekwenda kinyume na msimamo wa Chama.
 
Back
Top Bottom