Kuna mtu anakaribia kuingia 18 za Serikali, Magufuli hatanii....

Kuna mtu anakaribia kuingia 18 za Serikali, Magufuli hatanii....

Ishu nionayo hapa ni kutokuwepo na uwazi kuwe na taarifa za kila mwezi za makusanyo na utendaji kama ilivokuwa zamani ili MTU akipotosha watu wanapuuza sababu wanakuwa tayari wana taarifa, uvumi usipojibiwa uonekana ni kweli.
 
Wadau,

Kwa mujibu wa maneno ya JPM ya leo inaonekana kabisa, kwa sasa kansa kuu ni huu upotoshaji wa takwimu, na kwa muktadha huu ni kwamba kuna mtu muda wowote kuanzia sasa ataingia kwenye 18 za JPM, walio karibu nae mtu huyu wamfikishie salamu kuwa atakapo pewa data zozote toka kwa watu "wasiojulikana" kama siri za serikali atafute vyanzo vingine kuthibitisha kabla hajarusha kwenye hadhira.......

Katika wakosoaji wanaoogopwa na serikali nyingi duniani ni wale wenye taaluma za sheria au wale ambao wanasoma na kufuatilia ripoti, takwimu, vitabu au makala mbali mbali. Lissu, Zitto,Slaa, Lipumba(Enzi zake), Lamwai (Enzi zake) na wengineo wengi ni mifano ya aina hiyo... kwa wanasheria sababu ipo very clear wapo makini sana kwenye yale wanayozungumza na wanajua kuwa ni ngumu kuwashida Mahakamani, kwa watu aina ya Zitto, slaa et al. pamoja na kuwa sio wanasheria ni watu ambao wanasoma sana vitabu, makala na machapisho na matokeao ya takwimu mbali mbali, watu hawa huwa ni wabaya sana kwa kuwa wakosoapo hutumia takwimu na rejea mbali mbali....Hakuna serikali makini duniani kote itakuacha salama ikiwa ukosoaji wako "hata kama ni kweli " lakini unalenga kuzua taharuki katika jamii...Hakuna..Hakuna...


Kitakachomkuta asije kusema hatukumkumbusha. Ni wajibu wangu kama Mzalendo wa nchi hii kumkumbusha mtu yoyote ninayeona anaelekea kuingia kwenye hatari itakayosababisha taharuki kwenye jamii.

Tumpe muda JPM atimize azma yake kwa watanzania, na kama hatatimiza ahadi zake msema kweli ni Box la kura 2020.

Wenu

Tume ya Katiba
Mtakwimu Mwandamizi
kwa hiyo mtu wako kazi yake imekuwa kutushia watu na wewe kaxi yako kukithibitisha kitisho sio?
Ina maana urawala bora ni kutishatisha watu na watubkukubali kutushika wafungr midomo mpaka 2020 amabpo watakuwa na mdomo kwa miezi michache huku wakipigwa pigwa wakati wa kampeni halafu wapige kimya tena mpaka 2025? wewe una chochea uasi au mapinduzi
 
dat a zipi za uongo Tanzania daima wamekili kwa sababu hata wananchi wengi jana tuliuliza hiyo habari lakini Msigwa kwa barua aliyoisaini jana kutoka ikulu kasema Avccacia watalipa bilioni 700 ikatawanywa kwa vyombo vya habari leo akarekebisha sasa hizo data zilikuwa za ukweli Zitto anaongea fact Magufuli anataka kufanya mauaji mengine chini ya serikali yake na bashite unakuja kutamba ndio hicho kikosi cha wanyarwanda 20 unachotembea nacho kinakupa kiburi unakuja kwenye public domain kukili kwamba munauwa watu
Bashite anatembea na wanyarwanda 20?
Duuu!

Kwahiyo Rwanda ni zaidi ya Tz?
 
Ni lazima tu akosolowe na uongo wake na utendaji mbovu uliojaa chuki na vitisho atake asitake. Ataua Watanzania wangapi!?

Nchi ikiwa na watu wenye akili kama yako haiendelei kamwe,ni kwamba kuwa madarakani hakukufanyi uwe kama malaika au MUNGU kwamba hukosei.
sasa unataka watu wajifunze kukaa kimya wakati watu wanahangaika kuwafundisha hata watoto wadogo wasikae kimya wanapofanyiwa ubaya!
MWANAO mdogo akibakwa na mtu mzima wewe utamfundisha akae kimya au aseme?
 
Sheria ya kubadili takwimu inawahusu walioajiriwa kufanya hizo kazi, sisi wananchi utuvumilie tu lazima tutafiti na kuhoji.
 
Wadau,

Kwa mujibu wa maneno ya JPM ya leo inaonekana kabisa, kwa sasa kansa kuu ni huu upotoshaji wa takwimu, na kwa muktadha huu ni kwamba kuna mtu muda wowote kuanzia sasa ataingia kwenye 18 za JPM, walio karibu nae mtu huyu wamfikishie salamu kuwa atakapo pewa data zozote toka kwa watu "wasiojulikana" kama siri za serikali atafute vyanzo vingine kuthibitisha kabla hajarusha kwenye hadhira.......

Katika wakosoaji wanaoogopwa na serikali nyingi duniani ni wale wenye taaluma za sheria au wale ambao wanasoma na kufuatilia ripoti, takwimu, vitabu au makala mbali mbali. Lissu, Zitto,Slaa, Lipumba(Enzi zake), Lamwai (Enzi zake) na wengineo wengi ni mifano ya aina hiyo... kwa wanasheria sababu ipo very clear wapo makini sana kwenye yale wanayozungumza na wanajua kuwa ni ngumu kuwashida Mahakamani, kwa watu aina ya Zitto, slaa et al. pamoja na kuwa sio wanasheria ni watu ambao wanasoma sana vitabu, makala na machapisho na matokeao ya takwimu mbali mbali, watu hawa huwa ni wabaya sana kwa kuwa wakosoapo hutumia takwimu na rejea mbali mbali....Hakuna serikali makini duniani kote itakuacha salama ikiwa ukosoaji wako "hata kama ni kweli " lakini unalenga kuzua taharuki katika jamii...Hakuna..Hakuna...


Kitakachomkuta asije kusema hatukumkumbusha. Ni wajibu wangu kama Mzalendo wa nchi hii kumkumbusha mtu yoyote ninayeona anaelekea kuingia kwenye hatari itakayosababisha taharuki kwenye jamii.

Tumpe muda JPM atimize azma yake kwa watanzania, na kama hatatimiza ahadi zake msema kweli ni Box la kura 2020.

Wenu

Tume ya Katiba
Mtakwimu Mwandamizi
Acha ujinga na vitisho visivyo na maana.Msikosolewe nyie mmekuwa miungu watu? Pambafu
 
Ila umemshauri vizuri kwaiyo kazi kwake kusuka au kunyoa

Na wengine lile gazeti lililotoa takwimu za kupikwa.
 
Back
Top Bottom