Kuna msichana hapa MMU kanichezea afu kaniacha

Kuna msichana hapa MMU kanichezea afu kaniacha

uhahahaaahaa!! pole sana
msg akiwa online anajibu??
 
Kweli dunia imebadilika.
Zamani watoto wakike ndio walikua wakijiliza kwa kuchezewa na wanaume, nashangaa skuizi imekua kinyume chake
 
Subiri Eid pili iishe!

Make anatimiza ahadi za mfungo kwanza!

Jiandae na blah blah kibao. Ooh cm nili isahau kwa shangazi, si unajua tena mambo ya Eid!

Oooh cm ilikuwa imepotea. Nimeipata leo uvunguni na ilikuwa silent!!

Hatare! Jipange na ukae mguu sawa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom