Kuna msichana hapa MMU kanichezea afu kaniacha

Kuna msichana hapa MMU kanichezea afu kaniacha

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,055
Reaction score
16,510
Kuna mdada,alinivutia hapa MMU,nikamuomba namba zake,nikamcheck,tukatumiana picha watsap kila mtu akaridhika na mwenzake.Ila cha ajabu toka juzi nikimpigia simu hapokei,ila watsap namuona online nifanyaje?
 
Ndo amekuchezea hivyo..? Na una uhakika gani kama aliridhika na wewe..? Muhimu kabisa sikukuu hii ulitoa ahadi yeyote..?
 
Kusoma hujui, hata picha huelewi? keshaona sura imekaa kushoto kaamua kusepa. Huenda hata picha aliyokutumia siyo yake. Shtuka na songa.
 
Unatudhalilisha vijana wenzio, nani alikwambia JF-MMU ni sehemu ya kupata mwenza?

Hapa ni sehemu ya kupunguzia stress.

Mind: Dont trust anyone ever. Hafu kukusaidia tu, badili mtazamo wako kuhusu mapenzi kuanzia sasa. Ukikutana na mtu ujue kabisa wewe sio wa kwanza, hawezi kukaa single, anapima upepo, na huna chako. Ukiwa na mtazamo huo siku ukitaka kuoa utaandaa wa kwako ofisin kwenu, chuoni kwenu, kanisan kwenu or jirani yako ambayevat least unauhakika wa kufahamu 75% ya routine zake na mambo yake daily ili ujiridhishe.

ZINGATIA!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom