jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Ni suala la muda tu.
Kuna sintofahamu kubwa mno ndani ya CCM baina yao na mbaya zaidi ni mpasuko uhusuyo Kanda na namna ambavyo machinga wanavyotendwa.
Ikumbukwe, asilimia kubwa ya wabunge wa CCM hawapendezwi mno na namna zoezi la kuwaondoa machinga katika maeneo yao ya sasa linavyofanyika lakini hawataki kuonyesha misimamo yao hiyo kwa kuhofia kushughulikiwa.
Pamoja na hayo, suala la Kanda fulani kutotendewa haki katika mazingira fulani ya kiutawala nalo ni moja ya sababu ya mpasuko huo.
Ni suala la muda kishindo cha mpasuko huo waja.
Kuna sintofahamu kubwa mno ndani ya CCM baina yao na mbaya zaidi ni mpasuko uhusuyo Kanda na namna ambavyo machinga wanavyotendwa.
Ikumbukwe, asilimia kubwa ya wabunge wa CCM hawapendezwi mno na namna zoezi la kuwaondoa machinga katika maeneo yao ya sasa linavyofanyika lakini hawataki kuonyesha misimamo yao hiyo kwa kuhofia kushughulikiwa.
Pamoja na hayo, suala la Kanda fulani kutotendewa haki katika mazingira fulani ya kiutawala nalo ni moja ya sababu ya mpasuko huo.
Ni suala la muda kishindo cha mpasuko huo waja.