MAKONDA ANAWADISTURB WASAKA URAIS NDANI YA CCM NA HILI NI JAMBO JEMA
Watu wengi huwa hawajui kwanini huwa tunawachapa wasaka urais.Pale tunapobaini pasi na shaka kuwa kiongozi fulani ndani ya serikali na Chama anatengeneza mtandao wa kusaka urais huwa hatumuachi salama.
Wasaka urais ni watu wenye tamaa ya madaraka na kwasababu wana tamaa wanaweza kufanya jambo lolote ilimradi wafanikishe mkakati wao
Hawa ndio wale wasipodhibitiwa vilivyo wana uwezo wa kucreate crisis ndani ya nchi ili huyo Rais aliyeko madarakani haonekane hafai.
Kuutaka uongozi katika siasa siyo kosa na kumuondoa Rais kama itathibitika ameshindwa kuongoza nchi nayo ni jambo muhimu sana kwa ajili ya ustawi wa taifa lakini hawa wasaka urais huwa wanaongozwa na tamaa zao binafsi na siku zote wana jambo lao la kibinafsi wanalolipigania.
Wasaka urais kama ilivyoelezwa hapo juu wanaweza kutengeneza majanga kama haya yanayotokea hapa nchini mfano ukosefu wa Dollar,mfumuko wa Bei ,tatizo la upungufu wa mafuta na petroli na kadhalika.
Paul Makonda anafanya kazi kubwa ya kuwaharibia hawa jamaa na kwakweli hawa ndio maadui zake namba moja.
Nchi inaoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan na Makonda kama Mwenezi wa taifa nwenye jukumu la kueneza sera, itikadi na misingi ya CCM ana jukumu yeye pamoja na viongozi wenzake ndani ya Chama kukilinda Chama, kukijenga na kikisemea hivyo kiongozi yeyote anayekwenda visivyo kushughulikiwa ni haki yake.
Watu wengi huwa hawajui kwanini huwa tunawachapa wasaka urais.Pale tunapobaini pasi na shaka kuwa kiongozi fulani ndani ya serikali na Chama anatengeneza mtandao wa kusaka urais huwa hatumuachi salama.
Wasaka urais ni watu wenye tamaa ya madaraka na kwasababu wana tamaa wanaweza kufanya jambo lolote ilimradi wafanikishe mkakati wao
Hawa ndio wale wasipodhibitiwa vilivyo wana uwezo wa kucreate crisis ndani ya nchi ili huyo Rais aliyeko madarakani haonekane hafai.
Kuutaka uongozi katika siasa siyo kosa na kumuondoa Rais kama itathibitika ameshindwa kuongoza nchi nayo ni jambo muhimu sana kwa ajili ya ustawi wa taifa lakini hawa wasaka urais huwa wanaongozwa na tamaa zao binafsi na siku zote wana jambo lao la kibinafsi wanalolipigania.
Wasaka urais kama ilivyoelezwa hapo juu wanaweza kutengeneza majanga kama haya yanayotokea hapa nchini mfano ukosefu wa Dollar,mfumuko wa Bei ,tatizo la upungufu wa mafuta na petroli na kadhalika.
Paul Makonda anafanya kazi kubwa ya kuwaharibia hawa jamaa na kwakweli hawa ndio maadui zake namba moja.
Nchi inaoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan na Makonda kama Mwenezi wa taifa nwenye jukumu la kueneza sera, itikadi na misingi ya CCM ana jukumu yeye pamoja na viongozi wenzake ndani ya Chama kukilinda Chama, kukijenga na kikisemea hivyo kiongozi yeyote anayekwenda visivyo kushughulikiwa ni haki yake.