dan ki dan
Member
- Feb 25, 2011
- 19
- 4
Kila niangaliapo wanaonizunuka nahisi kuibiwa kama wanavyoibiwa wao. na ukiangalia kwa undani wengine wanajua kuwa wanaibiwa, wengine wanahisi lakini pia wapo ambao totally hawaelewi kama wanachezewa kamchezo hako ka kuibiwa. wana JF kama kuna mtu ambaye anafaidi tunda lake mwenyewe na he/ she is 100% sure of this scene please get me informed and how sure u r otherwise uchakachuaji upo