LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,254
- 11,640
Tulia tu ndio umeshaingia hilo darasa na uta fuzu tu. Dunia imetufundisha kuwa na mioyo ya chuma hata sisi tulikua kama wewe.Kitu gani unachosahau kwa siku mbili?
Acheni maskhara labda kama nyie wenzetu mna mioyo ya chuma