Shahrukhan 😁Deep down the human heart💖
Touched by a loving caring hand..!🤌🏿
Chords that are broken..💔... Will vibrate once more..💓💗💥
Yaan hata ujikaze vip wap aisee 🙌Haya mambo yasipokufika utasema watu hawana mioyo migumu, anyway poleni sana mliopitia/mnaopitia nyakati ngumu.
Asante kaka naichukua hiiFanya kama ulipendelewa tu kuwa na hao watu, lakini wote tutafariki.
Ni muhimu kukumbuka, lakini focus kwa waliobaki na maisha yanayoendelea.
Na humo humo katika kufocus kwa waliobaki na maisha yanayoendelea, unaweza kupata namna ya kuwaenzi waliotangulia.
😔UMESEMA UKWELI KABISA.MFANO PENGO LA MAGUFULI HALIWEZI KUZIBIKA KABISA KWA WATANZANIA
🙏🙏Maisha lazima yaendelee tu...The dead are gone, only the living matter.
It is very difficultIt is not easy to forget your loved one in a short period of time.
☑️☑️Hapo itabidi ukubali tu, they were special na acha kutaka kuwa replace.
Pole kwaniniMoyo wangu umeshutuka sana alloooo...
Kabisa kabisa. Hakunaga unreplaceable person dunia hii. Siku 2 nyingi ushasahau kila kitu 😂Yeyote aliye chini ya hii dunia anareplecika vizuri tu, acha kujiendekeza. Find a way 😁
Kazi ni nzito kwa walio tangulia mbele ya haki😥 tarehe kama ya leo ametimiza mwezi mmoja tangu aamue zake kulala milele. Najitahidi kupona ila badooo.. kuna muda nafeel kama vimetokea jana tu..
Kitu gani unachosahau kwa siku mbili?Kabisa kabisa. Hakunaga unreplaceable person dunia hii. Siku 2 nyingi ushasahau kila kitu 😂
Eeh Mungu nisaidie kwahiyo msibani watu hawacheki lol😁Hahaha
Huu Uzi wa majonzi tutaharibu content twende pm 😁
Msibani kucheka mwiko watu wanaweza kuhisi unaisema maiti 😁😁Eeh Mungu nisaidie kwahiyo msibani watu hawacheki lol😁
Noma sana aiseeMsibani kucheka mwiko watu wanaweza kuhisi unaisema maiti 😁😁