Kuna 'makauzu' humu?

Kuna 'makauzu' humu?

Hili somo ndio nipo tuition sasa hivi nimejiandikisha karibuni, sitatega darasa hata siku moja, nitamuuliza mwalimu maswali yote yanayonitatiza ilimradi nipate uelewa wa kutosha na niweze kuitumia vizuri hii elimu.

Nafikiri madhara ya kuwa "kauzu" ni machache sana kulinganisha na faida zake.
 
Jirani yangu wakwanza Nilimwambia kuanzia leo nimeamua sikuheshimu tu na simuheshimu kweli ( mama mtu mzima)
Jirani yangu wa pili huwa simsalimii nampita tu.Akaniuliza shida nini baba ? Nikamjibu huwa nakuona Kama jiwe tu.
Waliobaki wamenipa hiyo sifa ya ukauzu na maisha yanaendelea.
 
Tusichanganye lack of sense of humor, intro na ukauzu.

Ukauzu ni lifestyle fulani iliyopandishwa umaarufu na uwepo wa makundi kama Walume ndago, TMK Wanaume, TMK majita na East Coast Team. Kwa kuwaona East Coast wakishua TMK Wanaume wakajiundia personality ya ukauzu ambayo ni haijali kama haijaoga wiki nzima, haijali kama mavazi ni machafu na kua tayari kwa ugomvi.

Mtu alikua anajitamba yeye ni kauzu zaidi ya dagaa akimaanisha haoni aibu wala hahofii macho ya watu kwa atakachotaka kukufanyia au kwa jinsi alivyo.

Watu hawa walikua na kausemi ka "Mi gangstar" ukimuuliza mbona shati chafu jibu lake "Mi gangstar nimhofie nani? Mwenzako mi kauzu"

Anyway, haya makundi kufifia kulienda sambamba na hilo neno kauzu na personality yake. Nina uhakika hamna ambaye hili neno limekatiza akilini mwake mpaka alivyoliona hapa na hata ulivyolisoma cha kwanza kukumbusha ni dagaa na siyo personality.
 
Hili somo ndio nipo tuition sasa hivi nimejiandikisha karibuni, sitatega darasa hata siku moja, nitamuuliza mwalimu maswali yote yanayonitatiza ilimradi nipate uelewa wa kutosha na niweze kuitumia vizuri hii elimu.

Nafikiri madhara ya kuwa "kauzu" ni machache sana kulinganisha na faida zake.
Naomba niwe mwalimu wako.
 
Tusichanganye lack of sense of humor, intro na ukauzu.

Ukauzu ni lifestyle fulani iliyopandishwa umaarufu na uwepo wa makundi kama Walume ndago, TMK Wanaume, TMK majita na East Coast Team. Kwa kuwaona East Coast wakishua TMK Wanaume wakajiundia personality ya ukauzu ambayo ni haijali kama haijaoga wiki nzima, haijali kama mavazi ni machafu na kua tayari kwa ugomvi.

Mtu alikua anajitamba yeye ni kauzu zaidi ya dagaa akimaanisha haoni aibu wala hahofii macho ya watu kwa atakachotaka kukufanyia au kwa jinsi alivyo.

Watu hawa walikua na kausemi ka "Mi gangstar" ukimuuliza mbona shati chafu jibu lake "Mi gangstar nimhofie nani? Mwenzako mi kauzu"

Anyway, haya makundi kufifia kulienda sambamba na hilo neno kauzu na personality yake. Nina uhakika hamna ambaye hili neno limekatiza akilini mwake mpaka alivyoliona hapa na hata ulivyolisoma cha kwanza kukumbusha ni dagaa na siyo personality.
Lack of sense of humour ni nini?
 
Jirani yangu wakwanza Nilimwambia kuanzia leo nimeamua sikuheshimu tu na simuheshimu kweli ( mama mtu mzima)
Jirani yangu wa pili huwa simsalimii nampita tu.Akaniuliza shida nini baba ? Nikamjibu huwa nakuona Kama jiwe tu.
Waliobaki wamenipa hiyo sifa ya ukauzu na maisha yanaendelea.
Basi na Mimi sikuheshimu
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Ninachopenda ukiwa kauzu unaheshimika sana kwenye mazingira uliyopo iwe mtaani au kazini
 
Back
Top Bottom