Kuna 'makauzu' humu?

Kuna 'makauzu' humu?

Mi nikiwa kauzu ujue siku hiyo nazikunja na MTU.Nishazoea kucheka kwa kweli
 
Hili somo ndio nipo tuition sasa hivi nimejiandikisha karibuni, sitatega darasa hata siku moja, nitamuuliza mwalimu maswali yote yanayonitatiza ilimradi nipate uelewa wa kutosha na niweze kuitumia vizuri hii elimu.

Nafikiri madhara ya kuwa "kauzu" ni machache sana kulinganisha na faida zake.
Mkuu elimu ipi hiyo? Unataka nawe kuogopwa kwa kuwa kauzu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jirani yangu wakwanza Nilimwambia kuanzia leo nimeamua sikuheshimu tu na simuheshimu kweli ( mama mtu mzima)
Jirani yangu wa pili huwa simsalimii nampita tu.Akaniuliza shida nini baba ? Nikamjibu huwa nakuona Kama jiwe tu.
Waliobaki wamenipa hiyo sifa ya ukauzu na maisha yanaendelea.
[emoji1][emoji1]

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom