Kuna 'makauzu' humu?

Kuna 'makauzu' humu?

Kuna kipindi wakiona dukani naongea na muuza duka wanauliza kumbe huwaga unacheka , kumbe huwa nimcheshi hivi
 
Kuwa hivi unajiepusha na mengi mm salamu inatosha tujenge ujirani mwema ingawa watu wanakuona unaringa , dharau , hutaki kujichanganya wanakuteta mno
Kukuteta uhakika. Yaani ni lazima na haikwepeki.
 
Back
Top Bottom