Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,624
Wapendwa katika Bwana, poleni na majukumu
Yangu ni machache kwa leo. Huenda nikipata kibali mbele za bwana siku za mbeleni nikaja kuandika zaidi ila kwa leo nawasihi:
Mnapoona mapenzi yamefika mwisho msilazimishe, achaneni kwa wema Huku kila mmoja akiwa hana hasira wala kinyongo na mwenzie. Kuna maisha baada ya talaka.
Niwatakieni kila la kheri walio kwenye ndoa salama wale ambao mpo kwenye ndoano pia niwatakie mwisho mwema
Sent using jamii forums mobile app
Yangu ni machache kwa leo. Huenda nikipata kibali mbele za bwana siku za mbeleni nikaja kuandika zaidi ila kwa leo nawasihi:
Mnapoona mapenzi yamefika mwisho msilazimishe, achaneni kwa wema Huku kila mmoja akiwa hana hasira wala kinyongo na mwenzie. Kuna maisha baada ya talaka.
Niwatakieni kila la kheri walio kwenye ndoa salama wale ambao mpo kwenye ndoano pia niwatakie mwisho mwema
Sent using jamii forums mobile app