- Thread starter
- #41
Hao hao wawili wanatosha , labda nikupe namba ya mama yao uendeleze harakati Kisha ulete mrejesho humu
Huwezi kupata ushauri wa maana kwa sababu jambo lako halijakamilika, ongezea na mama yao halafu njoo sasa upate ushauri murua.