Kwanini hii stori yako usiiboreshe kidogo na kuipeleka kule kwenye uzi wa bwana rikiboy!?
Uzi wa kula tunda kimasihara!?
Eti mkuu, unaonaje!?
Ungetuuliza kabla hujawagegeda. Sasa hivi subiri matokeo tu
Unapata wap muda WA kuwa jibu mazuzuUngetuuliza kabla hujawagegeda. Sasa hivi subiri matokeo tu
Sikujua km ni ndugu kiongozi
Unapata wap muda WA kuwa jibu mazuzu
Zangu wamenifutia tena mbili 😂😂😂 tusiongee sana tusije kuzawadiwa banMbona comment zinafutwa jamani
aiseee hii hatarZangu wamenifutia tena mbili tusiongee sana tusije kuzawadiwa ban
Utauwawa wakigundua umewachanganyaHabarini wa jf katika pilika pilika za hapa na pale za kuhakikisha naupatia chakula chake mkuyate wangu nimejikuta nimegegeda dada na mdogo wake.
Naombeni kujua Kuna mdhara yapi yatakayojitokeza kwangu ama kwao kutokana na kitendo hicho?
Asanteni