Kuna madhara gani ya wanaume kutumia picha za wadada warembo kupiga punyeto

Kuna madhara gani ya wanaume kutumia picha za wadada warembo kupiga punyeto

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,934
Reaction score
8,151
Ndugu zangu.

Katika jambo la kujimaliza , wanaume wengi wamekua wakitumia picha za warembo mbali mbali kujimaliza kwa kuwapigia punyeto huku wakiamini wameridhika kabisa.

Je, ni sababu zipi zinazopelekea hasa matumizi ya picha za warembo pindi mwanaume anapotaka kujimaliza ubongo wake na yapi madhara ya kutumia picha za watoto wazuri ili kupiga puchu?
 

Attachments

  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    88 KB · Views: 65
  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    104.6 KB · Views: 52
  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    97.3 KB · Views: 58
  • downloadfile-1.jpg
    downloadfile-1.jpg
    88 KB · Views: 40
Ndugu zangu.

Katika jambo la kujimaliza , wanaume wengi wamekua wakitumia picha za warembo mbali mbali kujimaliza kwa kuwapigia punyeto huku wakiamini wameridhika kabisa.

Je, ni sababu zipi zinazopelekea hasa matumizi ya picha za warembo pindi mwanaume anapotaka kujimaliza ubongo wake na yapi madhara ya kutumia picha za watoto wazuri ili kupiga puchu?
Tafuta kazi ya kufanya
 
Ndugu zangu.

Katika jambo la kujimaliza , wanaume wengi wamekua wakitumia picha za warembo mbali mbali kujimaliza kwa kuwapigia punyeto huku wakiamini wameridhika kabisa.

Je, ni sababu zipi zinazopelekea hasa matumizi ya picha za warembo pindi mwanaume anapotaka kujimaliza ubongo wake na yapi madhara ya kutumia picha za watoto wazuri ili kupiga puchu?
Ukiwa huna akili hakuna madhara yoyote.
 
Dhambi kivipi na kwa nani na hili linamhusu vipi huyo anaefanyiwa hiyo dhambi?


Okay .. katika ukristo umeagizwa kuutunza mwili wako sabab ni hekalu la Bwana ... Hivyo MUNGU hulihitaji na au hulitia katika kazi zake hapa duniani .

Matharani hutumia mwili wako kutunza roho yako, hutumia mwili wako kuwalea wanao, wazazi na Wana jamii.

Jambo lolote lenye direct and vital disadvantages kwa mwili wako ni kukiuka Ile amri ya kulitunza hekalu la Bwana.

So unapovuta sigara, pombe, na unapofanya Kila linalo dhoofisha Hilo hekalu unakua unatenda makosa (DHAMBI)

Hata kuto kuvaa Sweta wakat wa bard ni DHAMBI pia... Unapaswa ujipende mkuu 🙏🙏
 
Okay .. katika ukristo umeagizwa kuutunza mwili wako sabab ni hekalu la Bwana ... Hivyo MUNGU hulihitaji na au hulitia katika kazi zake hapa duniani .

Matharani hutumia mwili wako kutunza roho yako, hutumia mwili wako kuwalea wanao, wazazi na Wana jamii.

Jambo lolote lenye direct and vital disadvantages kwa mwili wako ni kukiuka Ile amri ya kulitunza hekalu la Bwana.

So unapovuta sigara, pombe, na unapofanya Kila linalo dhoofisha Hilo hekalu unakua unatenda makosa (DHAMBI)

Hata kuto kuvaa Sweta wakat wa bard ni DHAMBI pia... Unapaswa ujipende mkuu 🙏🙏
Nimeagizwa au umeagizwa wewe? Kunywa pombe kupiga punyeto sio kosa kisheria ili mradi usiingilie uhuru wa mwingine tu
 
Nimeagizwa au umeagizwa wewe? Kunywa pombe kupiga punyeto sio kosa kisheria ili mradi usiingilie uhuru wa mwingine tu

Well. Nakuunga mkono ... Ikiwa hutak ingilia uhuru wa mwingine ...

Ila kiongozi let's say umefika 45 yrs alaf Kama side effects za nyeto (ambazo huwa physical au psychological) mashine ikiwa legev .... Unakua unamnyima haki stahiki sheji etu au shemej zetu ikiwa umeoa wengi.

Japo MUNGU ndiye hujua siku ya kifo chako Ila amekula uhuru kuyasimamia maisha yako.

Ukinywa pombe ukaugua maini, figo au kisukari na ukakata ringi ukiwa na 50yrs utakua umewanyima haki ya kuwa na mzazi uncle zetu.


Ila nakuunga mkono. Ikiwa humkeri mtu bas hutendi DHAMBI.

Ila kumbuka ukiumwa utatukera Sana na kutufedhehesha tunaokuamgalia. At last unapelekea tuanze kupeleka lawama kwa MUNGU kisa starehe zako.
 
Well. Nakuunga mkono ... Ikiwa hutak ingilia uhuru wa mwingine ...

Ila kiongozi let's say umefika 45 yrs alaf Kama side effects za nyeto (ambazo huwa physical au psychological) mashine ikiwa legev .... Unakua unamnyima haki stahiki sheji etu au shemej zetu ikiwa umeoa wengi.

Japo MUNGU ndiye hujua siku ya kifo chako Ila amekula uhuru kuyasimamia maisha yako.

Ukinywa pombe ukaugua maini, figo au kisukari na ukakata ringi ukiwa na 50yrs utakua umewanyima haki ya kuwa na mzazi uncle zetu.


Ila nakuunga mkono. Ikiwa humkeri mtu bas hutendi DHAMBI.

Ila kumbuka ukiumwa utatukera Sana na kutufedhehesha tunaokuamgalia. At last unapelekea tuanze kupeleka lawama kwa MUNGU kisa starehe zako.
Tuachane na habari za Mungu usiye weza kumthibitisha , kwamba kila anae umwa nakufa na 50 kanywa pombe inakuaje bibi yangu ana karibu 100 na kitu na mpaka leo ikifika jioni ana kunywa safari zake kadhaa?
 
Tuachane na habari za Mungu usiye weza kumthibitisha , kwamba kila anae umwa nakufa na 50 kanywa pombe inakuaje bibi yangu ana karibu 100 na kitu na mpaka leo ikifika jioni ana kunywa safari zake kadhaa?


DHAMBI kwa bwana hassani haiwi DHAMBI kwa bwana Baraka.

Kila mtu anamaisha yake. So nakuunga mkono.

Usiongelee bibi tu.

Ukienda urusi hata Kama umeokoka. Lazima upige whisk kabla hujaingia church. Sabab ya baridi ... Unaona. Kwani na wao wanaenda DHAMBI ??

So DHAMBI kwako inaweza kua Sio dhamb kwang.

Tuish Kila mtu na machagul yake.
 
DHAMBI kwa bwana hassani haiwi DHAMBI kwa bwana Baraka.

Kila mtu anamaisha yake. So nakuunga mkono.

Usiongelee bibi tu.

Ukienda urusi hata Kama umeokoka. Lazima upige whisk kabla hujaingia church. Sabab ya baridi ... Unaona. Kwani na wao wanaenda DHAMBI ??

So DHAMBI kwako inaweza kua Sio dhamb kwang.

Tuish Kila mtu na machagul yake.
Kwanza umeshaamsha kiu yangu ya kuchuja nafaka hapa Dr am 4 real PhD
 
Wale chain smokers ni vigumu sana kuacha kuvuta hata kama ni dactari by profession kwanini kwa sababu huouvutaji tayari imeingia katika roho yake wengine wanasema damuni.Hali kadhalika nyeto ni vigumu kuacha because your soul has been raped by demons. Madhara yake ni makubwa
 
Back
Top Bottom