Kuna maafa makubwa huko Israel!

Kuna maafa makubwa huko Israel!

Wenzetu dunia ya kwanza huwa wanakokotoa vizuri mahesabu yao kivita hata miaka 20 mbele kabla ya kuingia vitani.
Kwa akili za kawaida tu Israel haikuwa ya kuendelea kuisogelea tena Iraq ilihali hivi karibuni imetumia Human na non resources powers kupigana na Hamas, Hezbollah na Wa-houth mfululizo bila kupumzika.

Cha kushangaza bado kuna majitu huendelea kuona nguvu ya Wayahudi ni ya kubahatisha kupambana na hizo njemba zote, tukiacha undezi wa kidini kwa namna yoyote ile Israel ni next level katika ujasusi, mbinu na timings za kivita.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
20250615_141702.jpg
 
Baada ya kusoma maoni ya huyo billionea mwenye asili ya Israel hapo juu. Bado namashaka na uwezo wa Israel juu ya kukabiliana na Iran. Nadhani sasa kwa vile Iran "Kadhoofishwa" kama anavyosema yeye wanaweza mmaliza bila msaada wa aina yeyote kutoka USA. Lakini kama Bado wanahitaji msaada na mashaka na uwezo wao.
 
Ngoja tuone kama Iran ni Hizbollah au ni Houth. Israel aache kuomba misaada ya western sasa atulie apigane. Yeye si anajidai kidume hapo middle east?

Mwanaume umeanzisha vita mwenyewe halafu ukianza kupigwa unaita majirani wakusaidie. What a shame!
Kanchi kenyewe kadogo kama ukubwa wa Mbagala rangi 3 lakini Kila siku wao wanaleta vurugu....hyu Mzee wa Iran akae pembeni kidogo aziachie damu changa zilizokula mirungi zifanye kazi.....lugha pekee inayotambulika na kueleweka kwa taifa teule ni kula makonzi ya utosi....wanatakiwa wadundwe mpk next time wakifikiria kufanya ujinga Tena wasiwe hata na hamu ya kufanya
 
Ukiona Wamagharibi wanakiri hivi, ujue hali ni tete!

Multiple casualties reported as Iranian missiles hit Israel​


Missiles from Iran and Yemen 'hitting Israel'​


Sunday 15 June 2025 04:14, UK

Iran hit with new strikes after launching missile barrage into Israel​


15/06/2025


Nyongeza:

Iran fires missiles at Israel, kills 7, after attacks on oil sites​



THAAD MY FOOT
 
Irani yeye kapaniki, anarusha makombora hovyo hovyo tu na anapiga makazi. Israel Hadi Sasa kashapiga target maalumu 150 za kijeshi na kiuchumi. Keshaua cream kubwa ya viongozi wa kijeshi na wanasayansi wa silaha. Lakini hata vifo na majeruhi Irani imesha suffer sana toka juzi.

By simple calculation, na ukizingatia Iran ni hoi kiuchumi, utaweza kujua ni nani anakula hasara ya majuto.
Ole wake nisikie mtu anasema PRAY FOR israel.
 
Maafa Iran ni makubwa sana ni kwakua Iran huruhusiwi kupiga picha na hakuna internet
Ni sawa tu si ndio vita ilivyo. Ukipiga unapigwa. Huko Iran tunajua kuna maafa ila Israel hajazoea neno maafa. Ndio mana tunafurahi kuona maafa ya Israel
 
Back
Top Bottom