Kuna maafa makubwa huko Israel!

Kuna maafa makubwa huko Israel!

Ni kweli mkuu,Trump kashaanza kupiga simu Russia kumshinikiza azungumze na Iran.
Putin anachekea chooni.....naona atamhimiza Ayatollah amtandike zaidi Israel ili wamagharibi wajitoea kabisa kule Ukraine
 
Kanchi kenyewe kadogo kama ukubwa wa Mbagala rangi 3 lakini Kila siku wao wanaleta vurugu....hyu Mzee wa Iran akae pembeni kidogo aziachie damu changa zilizokula mirungi zifanye kazi.....lugha pekee inayotambulika na kueleweka kwa taifa teule ni kula makonzi ya utosi....wanatakiwa wadundwe mpk next time wakifikiria kufanya ujinga Tena wasiwe hata na hamu ya kufanya
Hiyo ndio dawa hasa inayoweza kutibu ugonjwa wao wa kiburi.
 
Na wewe unaamini kabisa,kwanini kule gaza akupigwi sehemu maalum 😀
Gaza hata kama ni mimi nakutandika kivyovyote maana hujavaa sare za jeshi upo kiraia 24/7, unashinda na kuzurura kwenye makazi ya Watu kama kichaka cha kujificha.

Viongozi wangapi wa magaidi waliuwawa nnje ya makazi ya raia? Ambatanisha ushahidi hapa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Kwa Hamas mlisema hivyo hivyo na avatar zenu mkaweka bendera za Hamas kipo wapi?
Hamas sio Iran.
Kuweni na akili basi hata kidogo.
Iran ni taifa lenye nguvu kamili.
Embu kwa utimamu wenu rejeleeni vita ya Iraq-Iran war 1980-1988.
Mnaropoka tu aisee.
 
Jamani tupeni ratiba ya usiku wa leo kuamkia kesho. Nani atampiga mwenzake.

Unajua hizi amshaamsha zinatusaidia sana sisi wengine ambao mambo yetu hayaendi hela hakuna, ndoa mgogoro tu. Mfano ni mgogoro wa Ukraine umenisaidia sana kupunguza stress maana imegeuka kuwa burudani kwangu. Imefika pahala natamani nyuklia ipigwe . PIA NATAMANI SANA YESU ARUDI MAANA DUNIA IMEJAA KIBURI SANA, IKIWA NI PAMOJA NA BOSS WANGU WA KAZINI
 
Hamas sio Iran.
Kuweni na akili basi hata kidogo.
Iran ni taifa lenye nguvu kamili.
Embu kwa utimamu wenu rejeleeni vita ya Iraq-Iran war 1980-1988.
Mnaropoka tu aisee.
Hamas = Iran angalia bendera
 
Jamani tupeni ratiba ya usiku wa leo kuamkia kesho. Nani atampiga mwenzake.

Unajua hizi amshaamsha zinatusaidia sana sisi wengine ambao mambo yetu hayaendi hela hakuna, ndoa mgogoro tu. Mfano ni mgogoro wa Ukraine umenisaidia sana kupunguza stress maana imegeuka kuwa burudani kwangu. Imefika pahala natamani nyuklia ipigwe . PIA NATAMANI SANA YESU ARUDI MAANA DUNIA IMEJAA KIBURI SANA, IKIWA NI PAMOJA NA BOSS WANGU WA KAZINI
Enjoy your bundle
 
Hamaz nao hawana mikakati, badala wajitenge waingie front wao kama wao, wanajichanganya na raia ili iwe ngao yao, wakipigwa inaonekana Israel anaua raia
Huu uongo tushauzungumzia sana humu.. hiki ni kichaka cha kujifichia ili waue raia.. hivi hao hamas ikiwa wanajificha kwa raia kwa hiyo hao raia wana miili ya chuma risasi haziingii
 
Back
Top Bottom