Kuna maafa makubwa huko Israel!

Kuna maafa makubwa huko Israel!

Kuna nchi inapiga sehemu maalum wala si makazi ya Watu na nchi nyingine inapiga popote tu, kati ya hizi nchi mbili ipi inaonekana iko vizuri zaidi kwa mbinu bora kivita?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ndo madhara ya vita hayo, badala ya kuomba amani Kwa Mungu wapumbavu wanashangilia, vita Haina macho. Tuombe Mungu alete amani Kwa hili.
 
Naomba nijue madhara boss
Irani yeye kapaniki, anarusha makombora hovyo hovyo tu na anapiga makazi. Israel Hadi Sasa kashapiga target maalumu 150 za kijeshi na kiuchumi. Keshaua cream kubwa ya viongozi wa kijeshi na wanasayansi wa silaha. Lakini hata vifo na majeruhi Irani imesha suffer sana toka juzi.

By simple calculation, na ukizingatia Iran ni hoi kiuchumi, utaweza kujua ni nani anakula hasara ya majuto.
 
Irani yeye kapaniki, anarusha makombora hovyo hovyo tu na anapiga makazi. Israel Hadi Sasa kashapiga target maalumu 150 za kijeshi na kiuchumi. Keshaua cream kubwa ya viongozi wa kijeshi na wanasayansi wa silaha. Lakini hata vifo na majeruhi Irani imesha suffer sana toka juzi.

By simple calculation, na ukizingatia Iran ni hoi kiuchumi, utaweza kujua ni nani anakula hasara ya majuto.
Tunaomba Netanyahu akimaliza na Iran aje atusaidie na nyie MCCM. Apige target 2 tu pale Kizimkazi na Msoga. 😁😁😁
 
Irani yeye kapaniki, anarusha makombora hovyo hovyo tu na anapiga makazi. Israel Hadi Sasa kashapiga target maalumu 150 za kijeshi na kiuchumi. Keshaua cream kubwa ya viongozi wa kijeshi na wanasayansi wa silaha. Lakini hata vifo na majeruhi Irani imesha suffer sana toka juzi.

By simple calculation, na ukizingatia Iran ni hoi kiuchumi, utaweza kujua ni nani anakula hasara ya majuto.
Tatizo mko too misinformed.
Israel imetumia hadi moles ndani ya Iran kufanya mauaji ya suicide drones na imekua raia 60+ Jana.
Iran imelipua ofisi za kijeshi tena usiku kuamkia leo.
Imelipua na Haifa refinery plant ya mafuta.
Wewe Kaa jitie upofu.
 
Ukiona Wamagharibi wanakiri hivi, ujue hali ni tete!

Multiple casualties reported as Iranian missiles hit Israel​


Missiles from Iran and Yemen 'hitting Israel'​


Sunday 15 June 2025 04:14, UK

Iran hit with new strikes after launching missile barrage into Israel​


15/06/2025


Nyongeza:

Iran fires missiles at Israel, kills 7, after attacks on oil sites​



Na walivyokuwa waongo watakwambia hajafa hata panya.. hamas kikundi cha kujihami kisichokuwa hata na kifaru kimoja zaidi ya magobore na mawe na wamemtoa kijasho zayuni itakuwa Iran mwenye nyuklia na makombora ya ballistic
 
kama Israel inavyofanya Gaza ? ikiuma unachomoa, tulia dawa iingie, bado wave ya 6 iko njiani
Gaza hata kama wewe ndiye ungekuwa Israel ungefanya hivyo hivyo maana unayepigana naye hana sare maalum ya jeshi lake na kajificha miongoni mwa makazi ya raia.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Mkuu usitake kutudanganya.
Israel inalipua makazi ya watu pia.
Hadi sasa imekua raia wa Iran zaidi ya 140 na kujeruhi zaidi ya 350.
Na palipopigwa ni makazi ya watu.
Kati ya hizo nchi 2 ni ipi iliyoanza kulipua makazi ya Watu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Back
Top Bottom