Kuna maafa makubwa huko Israel!

Kuna maafa makubwa huko Israel!

KIjna unataka source ipi...?
au mama yako akileta source ndiyo utaamini..?
Acha ujinga...fungua hilo fuvu toa makamasi na ulijzae maarifa.
Mama nijaye halikadhalika nawe una Mama, fuvu ninalo halikadhalika nawe una fuvu, au nasema uwongo Ndugu yangu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Better to find common ground when dealing with difficult people
Wenzetu dunia ya kwanza huwa wanakokotoa vizuri mahesabu yao kivita hata miaka 20 mbele kabla ya kuingia vitani.
Kwa akili za kawaida tu Israel haikuwa ya kuendelea kuisogelea tena Iraq ilihali hivi karibuni imetumia Human na non resources powers kupigana na Hamas, Hezbollah na Wa-houth mfululizo bila kupumzika.

Cha kushangaza bado kuna majitu huendelea kuona nguvu ya Wayahudi ni ya kubahatisha kupambana na hizo njemba zote, tukiacha undezi wa kidini kwa namna yoyote ile Israel ni next level katika ujasusi, mbinu na timings za kivita.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Ukiona Wamagharibi wanakiri hivi, ujue hali ni tete!

Multiple casualties reported as Iranian missiles hit Israel​


Missiles from Iran and Yemen 'hitting Israel'​


Sunday 15 June 2025 04:14, UK

Iran hit with new strikes after launching missile barrage into Israel​


15/06/2025


Nyongeza:

Iran fires missiles at Israel, kills 7, after attacks on oil sites​



Napenda mno taarifa yako, ni ukweli na uhakika.
 
Ngoja tuone kama Iran ni Hizbollah au ni Houth. Israel aache kuomba misaada ya western sasa atulie apigane. Yeye si anajidai kidume hapo middle east?

Mwanaume umeanzisha vita mwenyewe halafu ukianza kupigwa unaita majirani wakusaidie. What a shame!
 
Back
Top Bottom