Kuna maafa makubwa huko Israel!

Kuna maafa makubwa huko Israel!

Irani yeye kapaniki, anarusha makombora hovyo hovyo tu na anapiga makazi. Israel Hadi Sasa kashapiga target maalumu 150 za kijeshi na kiuchumi. Keshaua cream kubwa ya viongozi wa kijeshi na wanasayansi wa silaha. Lakini hata vifo na majeruhi Irani imesha suffer sana toka juzi.

By simple calculation, na ukizingatia Iran ni hoi kiuchumi, utaweza kujua ni nani anakula hasara ya majuto.
Jike la kihayudi kutoka madaba linavyolipoti kwa mahaba
 
Tatizo mko too misinformed.
Israel imetumia hadi moles ndani ya Iran kufanya mauaji ya suicide drones na imekua raia 60+ Jana.
Iran imelipua ofisi za kijeshi tena usiku kuamkia leo.
Imelipua na Haifa refinery plant ya mafuta.
Wewe Kaa jitie upofu.
Hilo jike la wayahudi haliwezi kukubali ukweli kwakua ni miongoni mwa mipunga
 
Screenshot_20250615-090313_Instagram.jpg
 
Google si chanzo sahihi cha taarifa zozote za habari Mkuu, hata mimi naweza kuandika upuuzi nikatupia hapo.
Weka vyanzo mbali mbali vinavyofahamika ni sahihi na ni kazi zake kama CNN, BBC, REUTERS, 24 HOURS, SKY NEWS n.k.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Punga hata uliambie vipi haliwezagi kuelewa, wewe ni miongoni mwa mipunga hivyo hutokuja kuelewa
 
Propaganda kwa account ambayo ni verified?. Ingia X kwenye hio account ujiridhishe kama ni yeye au laa?.
Mkuu mbona unapoteza muda kubishana na punga??? Upinde likishaingia kwenye mfumo huo haliwezi kuelewa, mkuu huoni kina Anko T??
 
Tela Aviv na Haifa wameshushiwa kipondo si cha kawaida

Search and rescue under way as new Iranian rocket barrage hits Israel​


Monday 16 June 2025 03:58, UK


Za kuambiwa changanya na zako, wenyewe wanajifanya hawafi, wakifa ni idadi ndogo!

Several injured in Haifa following Iranian strikes, Israeli media reports

 

At least four sites hit in central Israel: Report​

Fires seen at Haifa power plant after Iranian attack​

Three killed in latest Iranian strike on Israel: Reports​


 
Ukiona Wamagharibi wanakiri hivi, ujue hali ni tete!

Multiple casualties reported as Iranian missiles hit Israel​


Missiles from Iran and Yemen 'hitting Israel'​


Sunday 15 June 2025 04:14, UK

Iran hit with new strikes after launching missile barrage into Israel​


15/06/2025


Nyongeza:

Iran fires missiles at Israel, kills 7, after attacks on oil sites​



Watu wanaikimbia Tehran kwa maelfu, haikaliki, Israel anajipigia tu.
 
Irani yeye kapaniki, anarusha makombora hovyo hovyo tu na anapiga makazi. Israel Hadi Sasa kashapiga target maalumu 150 za kijeshi na kiuchumi. Keshaua cream kubwa ya viongozi wa kijeshi na wanasayansi wa silaha. Lakini hata vifo na majeruhi Irani imesha suffer sana toka juzi.

By simple calculation, na ukizingatia Iran ni hoi kiuchumi, utaweza kujua ni nani anakula hasara ya majuto.
Hii vita Iran kapoteza big times, kashaanza kuomba nchi jirani zisuluhishe mgogoro, Ayatollah hana uhakika na siku inayofuata, wasaidizi wake waandamizi karibia wote wameisha.
 
Ukiona Wamagharibi wanakiri hivi, ujue hali ni tete!

Multiple casualties reported as Iranian missiles hit Israel​


Missiles from Iran and Yemen 'hitting Israel'​


Sunday 15 June 2025 04:14, UK

Iran hit with new strikes after launching missile barrage into Israel​


15/06/2025


Nyongeza:

Iran fires missiles at Israel, kills 7, after attacks on oil sites​



Maafa yapi hayo yasiyotaja idadi? Mfano, Israel inataja kabisa Majenerali 8 na wanasayansi 6 wa nuke wa Iran wamekufa, halafu idadi ya raia wanaiachia Iran yenyewe itangaze kuwa ni 200
 
Back
Top Bottom